Kilichofanywa na Serikali ya Kenya siyo Tusi la Kidiplomasia kwa Serikali ya Tanzania?

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Jul 13, 2013
56,054
107,538
Huku nyuma kuna Mtu mmoja aliwahi kuniambia kwamba ni kheri Mtu akakupiga tu Ngumi ya moja kwa moja au Kukutukana tu Tusi la moja kwa moja ujue moja kuliko kuyafanya yote mawili katika mwamvuli wa lugha ya Kidiplomasia kwani yanauma, yanaumiza na maumivu yake huwa ni ya muda mrefu pia.

Akaenda mbele na kuniambia kwamba hakuna kitu kibaya duniani kama pale Wewe unayejiona ni Mbabe au Mkorofi halafu ukamchokoza Mtu ambaye pengine unadhani ni dhaifu Kwako ukiwa na mategemeo makubwa kwamba na Yeye atakurudishia vile vile ili upate chanzo cha Kumdhuru halafu Yeye ( uliyemchokoza ) badala ya kukujibu kwa Shari / Ugomvi badala yake anakujibu kwa Hekima na Busara kwani hilo huwa ni tusi kubwa na baya mno la Kidiplomasia.

Yawezekana Serikali ya Kenya imebobea sana katika matusi ya Kidiplomasia kwani ama hakika kwa Vitendo vya siku za karibuni ambavyo vimefanywa na Serikali ya Tanzania dhidi ya Mifugo na Bidhaa za Kenya usingetegemea kama Wakenya wange hundle hii situation in a diplomatic manner like this badala yake sasa inaonekana kabisa kwamba Serikali ya Tanzania ndiyo imepata aibu na imetukanwa vibaya mno Kidiplomasia.

Vitendo vya Kuwafidia Wafugaji waliopoteza Mifugo yao huku mpaka sasa wakifanya mazungumzo ya kurudisha zile Ng'ombe kadhaa kutoka Tanzania zilizokamatwa katika ardhi yao tofauti na ambavyo Sisi tumefanya kama kutaifisha Mifugo yao na hata Kuchoma moto hadharani ni Tusi la Kutukuka si tu kwa Serikali ya Tanzania bali na kwa Watanzania wote.

Mwisho nimalizie kwa kusema tu kwamba kama Wabobezi wa Diplomasia nchini Tanzania hawatashtuka na kuamka ili kuliingilia hili kati kuna hatari kila siku tukaendelea Kutukanwa Kidiplomasia na si tu Wakenya bali hata Mataifa mengine ambayo yanajielewa. Serikali ya sasa ya Tanzania ipitie upya aina ya Diplomasia yake na isione pia shida / tabu kuomba ushauri kwa Baba wa Diplomasia nchini Tanzania Rais mstaafu wa awamu ya Nne Mzee Jakaya Mrisho Kikwete.

Kosa la Mtu mmoja linatusababishia Watanzania wote katika macho ya Kimataifa tunaonekana ni wa hovyo hovyo. Hapana hili halikubaliki na huyu Mhusika ikiwezekana afundishwe jinsi ya kuishi na Watu hasa Majirani na kuheshimu Uhusiano wa muda mrefu wa Kidiplomasia wa Tanzania na nchi zingine kwani Tanzania siyo Kisiwa na ipo siku hawa hawa ambao leo tunawachokoza tutawahitaji kwa namna moja au nyingine. Namwomba abadilike upesi sana na ikiwezekana hata huu uzi wangu apewe wote kama ulivyo ausome ili ayajue mapema mapungufu yake Kimataifa. Tumechoka and We need peace in East Africa please!!!!!!!

GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo siku zote huwa haikai na uchafu halafu sijazoe Unafiki bali nanyoosha tu hata kama ni Kipenzi changu au ni Adui yangu.

Nawasilisha.
 
GENTAMYCINE ,

Mkuu, wewe endelea tu kutema nyongo ila hakikisha kuwa una ujamaa wa karibu na Nissan Nyeupe zote!

La sivyo ,,,, pambio la parapanda italia parapanda *3 linaweza likasikika katika viunga vya kayani kwako.

Huwa Napenda kukupa " like" ila hapa naogopa mkuu Nissan isije ikakosea njia ikafika kwangu.

Sikutishi mkuu, bali nawaza kwa sauti.
 
Wamezoea mipasho na ubabe na matamko yasiyokua na tija
Kenya wako vizuri kila sekta ..ni odinga tu anajaribu kutia doa nchi ya kenya lakini kenya they are very smart na educated ...huku kwetu mtu ni educated kwa makaratasi na vyeti tu lakin akili hamna ...
Eti leo hii unaweza kumfananisha museven na nyerere ..? What nonsense!
 
Kwa miaka Kenya waliwaona Watanzania kama wapiga domo bila matendo ndio sababu wakageuza Tanzania kuwa shamba la kuchunga mifugo yao. Kuanzia sasa watajua Watanzania wanaweza kutenda, nchi ina mipaka ambayo ni lazima iheshimiwe vinginevyo waongeze bajeti ya kufidia wafugaji waao.

Hoja kwamba fidia ni matusi ya kidplomasia naona ni mzaha, kwangu mimi hiyo ni sawa na kukubali kukubali kuwa walijua wafugaji wao wanvusha mifugo kwenda nchi nyingine bila utaratibu maalum na kwa sababu hawakufanya chochote sasa wafidie kwa kosa la kutowapa ELIMU ya kuheshimu mipaka. Next time, wapige hodi kabla hawajaingia kwenye nyumba za watu otherwise wawe tayari kwa lolote watakalokutana nalo. Tanzania mpya!
 
Huku nyuma kuna Mtu mmoja aliwahi kuniambia kwamba ni kheri Mtu akakupiga tu Ngumi ya moja kwa moja au Kukutukana tu Tusi la moja kwa moja ujue moja kuliko kuyafanya yote mawili katika mwamvuli wa lugha ya Kidiplomasia kwani yanauma, yanaumiza na maumivu yake huwa ni ya muda mrefu pia.

Akaenda mbele na kuniambia kwamba hakuna kitu kibaya duniani kama pale Wewe unayejiona ni Mbabe au Mkorofi halafu ukamchokoza Mtu ambaye pengine unadhani ni dhaifu Kwako ukiwa na mategemeo makubwa kwamba na Yeye atakurudishia vile vile ili upate chanzo cha Kumdhuru halafu Yeye ( uliyemchokoza ) badala ya kukujibu kwa Shari / Ugomvi badala yake anakujibu kwa Hekima na Busara kwani hilo huwa ni tusi kubwa na baya mno la Kidiplomasia.

Yawezekana Serikali ya Kenya imebobea sana katika matusi ya Kidiplomasia kwani ama hakika kwa Vitendo vya siku za karibuni ambavyo vimefanywa na Serikali ya Tanzania dhidi ya Mifugo na Bidhaa za Kenya usingetegemea kama Wakenya wange hundle hii situation in a diplomatic manner like this badala yake sasa inaonekana kabisa kwamba Serikali ya Tanzania ndiyo imepata aibu na imetukanwa vibaya mno Kidiplomasia.

Vitendo vya Kuwafidia Wafugaji waliopoteza Mifugo yao huku mpaka sasa wakifanya mazungumzo ya kurudisha zile Ng'ombe kadhaa kutoka Tanzania zilizokamatwa katika ardhi yao tofauti na ambavyo Sisi tumefanya kama kutaifisha Mifugo yao na hata Kuchoma moto hadharani ni Tusi la Kutukuka si tu kwa Serikali ya Tanzania bali na kwa Watanzania wote.

Mwisho nimalizie kwa kusema tu kwamba kama Wabobezi wa Diplomasia nchini Tanzania hawatashtuka na kuamka ili kuliingilia hili kati kuna hatari kila siku tukaendelea Kutukanwa Kidiplomasia na si tu Wakenya bali hata Mataifa mengine ambayo yanajielewa. Serikali ya sasa ya Tanzania ipitie upya aina ya Diplomasia yake na isione pia shida / tabu kuomba ushauri kwa Baba wa Diplomasia nchini Tanzania Rais mstaafu wa awamu ya Nne Mzee Jakaya Mrisho Kikwete.

Kosa la Mtu mmoja linatusababishia Watanzania wote katika macho ya Kimataifa tunaonekana ni wa hovyo hovyo. Hapana hili halikubaliki na huyu Mhusika ikiwezekana afundishwe jinsi ya kuishi na Watu hasa Majirani na kuheshimu Uhusiano wa muda mrefu wa Kidiplomasia wa Tanzania na nchi zingine kwani Tanzania siyo Kisiwa na ipo siku hawa hawa ambao leo tunawachokoza tutawahitaji kwa namna moja au nyingine. Namwomba abadilike upesi sana na ikiwezekana hata huu uzi wangu apewe wote kama ulivyo ausome ili ayajue mapema mapungufu yake Kimataifa. Tumechoka and We need peace in East Africa please!!!!!!!

GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo siku zote huwa haikai na uchafu halafu sijazoe Unafiki bali nanyoosha tu hata kama ni Kipenzi changu au ni Adui yangu.

Nawasilisha.
Ndio huyo aliokwambia kuhusu 'sniper' wa Lissu?
 
Wamezoea mipasho na ubabe na matamko yasiyokua na tija
Kenya wako vizuri kila sekta ..ni odinga tu anajaribu kutia doa nchi ya kenya lakini kenya they are very smart na educated ...huku kwetu mtu ni educated kwa makaratasi na vyeti tu lakin akili hamna ...
Eti leo hii unaweza kumfananisha museven na nyerere ..? What nonsense!

Wako vizuri? Huyo Governor alishindwa kusimamia usalama wa Kenya wakati akiwa waziri wa mambo ya ndani akafukuzwa, kazi na sasa anaonesha he is useless kwa kushindwa kuwaambia wafugaji wake mipaka ya nchi iko wapi. Sasa kaingia gharama ya kufidia upumbavu wake. Somo moja, kama aliozea kuona Tanzania ni waongeaji sasa atajua hii ni zama nyingine, aongeze mfuko wa fidia kama hatofanya kazi.
 
Hilo tusi limrudie aliyelisababisha kama reflected light from every Tanzanian. Hivyo,hilo tusi liwe replicated 50m + kwenda kuwa absorbed kwa huyo "black body" anayestahili. Hatuwezi kubeba matusi ya mtu mmoja
 
GENTAMYCINE ,

Mkuu, wewe endelea tu kutema nyongo ila hakikisha kuwa una ujamaa wa karibu na Nissan Nyeupe zote!

La sivyo ,,,, pambio la parapanda italia parapanda *3 linaweza likasikika katika viunga vya kayani kwako.

Huwa Napenda kukupa " like" ila hapa naogopa mkuu Nissan isije ikakosea njia ikafika kwangu.

Sikutishi mkuu, bali nawaza kwa sauti.

Hakuna Binadamu ambaye amekubaliana na Mwenyezi Mungu kuwa ataishi Milele hapa duniani halafu moja ya Utamaduni wa Kabila langu la Kizanaki ni kuwa mkweli, siyo mwoga, siyo mnafiki, simamia katika haki, rekebisha kwa minajili ya kujenga na kutomuonea Mtu haya hata kama anakulisha au anakunywesha brandi ( pombe )

Kama leo wataniona Mimi nimekuwa adui yao kwa kuwaambia huu ukweli bali na wao pia si vibaya wakajiuliza kwamba ni kwanini mara nyingi pia nimekuwa nikiwasifia / nikiwapongeza humu kwa mengi tu na hata muda mwingine nikipambana na maadui zao wakubwa Kisiasa Watu wa CHADEMA na wala hawajanifuata na hizo Nissan Patrol zao kunipa ama Tuzo au hata Zawadi tu ya Pesa?

Kwahiyo GENTAMYCINE anaonekana tu mzuri Kwao pale akiwanganga maadui zao ila akiwagusa wao anakuwa mwiba mchungu / adui yao? Nashukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba hata katika maisha yangu nilipata pia malezi kidogo kutoka kwa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere pale Msasani hivyo kukaa nae kule alinifunza mengi na nilijifunza mengi pia hivyo nitayaiga yale yote aliyokuwa akiyafanya. Nina uhakika hata Yeye ( Nyerere ) kama angekuwepo hai hivi leo basi huu upuuzi / upupu wa Kidiplomasia unaoendelea angeukemea tena kwa ukali zaidi.

Poise siogopi Kufa Mkuu wangu tena hata kama Wewe unanijua vyema tu nakukaribisha muda na wakati wowote ule uje uniue ili nikamfuate na nikaungane na Babu yangu Mwalimu Nyerere huko Kaburini aliko kusudi niweze kumweleza haya mambo ya hovyo hovyo yanayoendelea sasa na yanayoshika Kasi pia.

Tena kama wamekutuma kawaambie kwamba sitobadilika katika kufanya analysis zangu humu JF na siku zote nitakuwa 50/50. Nimemaliza
 
Huku nyuma kuna Mtu mmoja aliwahi kuniambia kwamba ni kheri Mtu akakupiga tu Ngumi ya moja kwa moja au Kukutukana tu Tusi la moja kwa moja ujue moja kuliko kuyafanya yote mawili katika mwamvuli wa lugha ya Kidiplomasia kwani yanauma, yanaumiza na maumivu yake huwa ni ya muda mrefu pia.

Akaenda mbele na kuniambia kwamba hakuna kitu kibaya duniani kama pale Wewe unayejiona ni Mbabe au Mkorofi halafu ukamchokoza Mtu ambaye pengine unadhani ni dhaifu Kwako ukiwa na mategemeo makubwa kwamba na Yeye atakurudishia vile vile ili upate chanzo cha Kumdhuru halafu Yeye ( uliyemchokoza ) badala ya kukujibu kwa Shari / Ugomvi badala yake anakujibu kwa Hekima na Busara kwani hilo huwa ni tusi kubwa na baya mno la Kidiplomasia.

Yawezekana Serikali ya Kenya imebobea sana katika matusi ya Kidiplomasia kwani ama hakika kwa Vitendo vya siku za karibuni ambavyo vimefanywa na Serikali ya Tanzania dhidi ya Mifugo na Bidhaa za Kenya usingetegemea kama Wakenya wange hundle hii situation in a diplomatic manner like this badala yake sasa inaonekana kabisa kwamba Serikali ya Tanzania ndiyo imepata aibu na imetukanwa vibaya mno Kidiplomasia.

Vitendo vya Kuwafidia Wafugaji waliopoteza Mifugo yao huku mpaka sasa wakifanya mazungumzo ya kurudisha zile Ng'ombe kadhaa kutoka Tanzania zilizokamatwa katika ardhi yao tofauti na ambavyo Sisi tumefanya kama kutaifisha Mifugo yao na hata Kuchoma moto hadharani ni Tusi la Kutukuka si tu kwa Serikali ya Tanzania bali na kwa Watanzania wote.

Mwisho nimalizie kwa kusema tu kwamba kama Wabobezi wa Diplomasia nchini Tanzania hawatashtuka na kuamka ili kuliingilia hili kati kuna hatari kila siku tukaendelea Kutukanwa Kidiplomasia na si tu Wakenya bali hata Mataifa mengine ambayo yanajielewa. Serikali ya sasa ya Tanzania ipitie upya aina ya Diplomasia yake na isione pia shida / tabu kuomba ushauri kwa Baba wa Diplomasia nchini Tanzania Rais mstaafu wa awamu ya Nne Mzee Jakaya Mrisho Kikwete.

Kosa la Mtu mmoja linatusababishia Watanzania wote katika macho ya Kimataifa tunaonekana ni wa hovyo hovyo. Hapana hili halikubaliki na huyu Mhusika ikiwezekana afundishwe jinsi ya kuishi na Watu hasa Majirani na kuheshimu Uhusiano wa muda mrefu wa Kidiplomasia wa Tanzania na nchi zingine kwani Tanzania siyo Kisiwa na ipo siku hawa hawa ambao leo tunawachokoza tutawahitaji kwa namna moja au nyingine. Namwomba abadilike upesi sana na ikiwezekana hata huu uzi wangu apewe wote kama ulivyo ausome ili ayajue mapema mapungufu yake Kimataifa. Tumechoka and We need peace in East Africa please!!!!!!!

GENTAMYCINE ni kama Bahari ambayo siku zote huwa haikai na uchafu halafu sijazoe Unafiki bali nanyoosha tu hata kama ni Kipenzi changu au ni Adui yangu.

Nawasilisha.
Sheria ya nchi IPO wazi ikivunjwa lazima itekelezwe ipasavyo.kama Sheria imezuia Mifugo ya nje kuingia nchini kiholela bila kufuata utaratibu uliowekwa na Sheria hiyo ikafafanua adhabu itakayotolewa kwa atakayekiuka Sheria / utaratibu huo mfno.Kupiga mnada , kuchoma,jela au vyote kwa Pamoja.

Kama imetekelezwa sheria tukae kimya na tuwapongeze walio simamia hiyo Sheria kwani tumezitunga kwa maslahi mapana ya Taifa. Tusiishi kwa Mazoea kwamba zamani mbona ukikamatwa unatoa kitukidogo wanakuachia hawa wa Leo wapo kazini kwa Maslahi ya Taifa siyo kwa maslai yao binafsi.

DIPLOMASIA INGEFAA KAMA HAO WATU HAWAJA VUNJA SHERIA YA NCHI NA WAMECHOMEWA AU KUPIGWA MNADA MIFUGO YAO. WEWE NENDA KWAO KAVUNJE SHERIA YA NCHI YAO ALAFU WAO KAMA WATATAKA DIPROMASIA LAZIMA WATAFUTA SHERIA INASEMAJE NA WAITEKELEZE.
 
Hakuna Binadamu ambaye amekubaliana na Mwenyezi Mungu kuwa ataishi Milele hapa duniani halafu moja ya Utamaduni wa Kabila langu la Kizanaki ni kuwa mkweli, siyo mwoga, siyo mnafiki, simamia katika haki, rekebisha kwa minajili ya kujenga na kutomuonea Mtu haya hata kama anakulisha au anakunywesha brandi ( pombe )

Kama leo wataniona Mimi nimekuwa adui yao kwa kuwaambia huu ukweli bali na wao pia si vibaya wakajiuliza kwamba ni kwanini mara nyingi pia nimekuwa nikiwasifia / nikiwapongeza humu kwa mengi tu na hata muda mwingine nikipambana na maadui zao wakubwa Kisiasa Watu wa CHADEMA na wala hawajanifuata na hizo Nissan Patrol zao kunipa ama Tuzo au hata Zawadi tu ya Pesa?

Kwahiyo GENTAMYCINE anaonekana tu mzuri Kwao pale akiwanganga maadui zao ila akiwagusa wao anakuwa mwiba mchungu / adui yao? Nashukuru sana Mwenyezi Mungu kwamba hata katika maisha yangu nilipata pia malezi kidogo kutoka kwa Baba wa Taifa Hayati Mwalimu Nyerere pale Msasani hivyo kukaa nae kule alinifunza mengi na nilijifunza mengi pia hivyo nitayaiga yale yote aliyokuwa akiyafanya. Nina uhakika hata Yeye ( Nyerere ) kama angekuwepo hai hivi leo basi huu upuuzi / upupu wa Kidiplomasia unaoendelea angeukemea tena kwa ukali zaidi.

Poise siogopi Kufa Mkuu wangu tena hata kama Wewe unanijua vyema tu nakukaribisha muda na wakati wowote ule uje uniue ili nikamfuate na nikaungane na Babu yangu Mwalimu Nyerere huko Kaburini aliko kusudi niweze kumweleza haya mambo ya hovyo hovyo yanayoendelea sasa na yanayoshika Kasi pia.

Tena kama wamekutuma kawaambie kwamba sitobadilika katika kufanya analysis zangu humu JF na siku zote nitakuwa 50/50. Nimemaliza


GENTAMYCINE ,


Duuuuuuh ,

Mkuu, shikamooooooooo!!

Mimi nilikuwa naota mkuu, hivyo usichukulie serious kiivyo.

Bado nipo kitandani nimelala , naendelea kuota.
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom