Kilichofanywa na Serikali ya Kenya siyo Tusi la Kidiplomasia kwa Serikali ya Tanzania?

Umeongea mengi mazuri yenye kujenga lakini hii diplomasia ifanywe kwa mambo mengine sio kuvusha mifugo kienyeji bila taratibu za kudhibiti magonjwa na pia janga la uharibifu wa mazingira kutokana na ufugaji holela ni kubwa sana hapa kwetu.

Tayari hapa nyumbani tuna migogoro mikubwa na nchi inakuwa jangwa kwa kasi maeneo ya wafugaji, athari zake ni kubwa mno sio za kuzichukulia kirahisi na kutaka kuwafurahisha jirani. Ile njaa na ukame wa Kenya utakuja kwa kasi zaidi.

Diplomasia ifanyike kwenye mambo ya ukanda huru wa kibiashara na ajira n.k. sio mambo ya afya na mazingira.
Ni kweli mkuu ila Unadhanj Jangwa Tanzania linatoka na na mifugo inayokuja kula Tanzania?!...

Hasha.. Inatokana na zao la umasikini... Watu wanaongeza mahitaji ya nishati na kila tunachoweza kufanya kulingana na kipato ni kuni..

Uncontrolled large scale farming mtu bila kibali anafyeka tu misitu alime... Mjini utumiaji wa mkaa.. Hatari mno..

Na hii ndio dhana yetu ya maisha ..watu wanenda mwituni wanajimegea Marne wanaanza kuishi kama hatutabadilisha hili mbona ukame ufatuua..

Mifugo ni sehemu ya ecology.. Majani kwa ngombe wa kienyeji wanategemea misitu na machunga asilia.. Ndio maana nimetoa wazo nchi zote zinahitaji kuingia pande zote mbili... Kikubwa ni kudhibiti uingiaji huu kwa kutenga njia maalumu... Hii ni nadharia rahisi kabisa tunaitumia katika kupanga matumizi ya Ardhi vijijini..ambapo kijiji chenye wakulima sometimes kinatenga maeneo ya malisho kwa kuwa katika vipindi Fulani vya mwaka wafuga toka kijiji jirani inabidi wafate malisho kwao kwa sababu za ki-ikolojia.

Kwa nn nadharia hii isifanye Nazi katika international stage?! Hill ndio najaribu kulieleza..maana ina a long run hii kushika tu haitasaidia.. Na huku panapodorora tutaenda kulisha wapi..au ndio ng'ombe wafe tu?!
 
Hao wakenya wakwende zao walituona maboya kwa kipindi kirefu sana waambie wakiingiza ng ombe nyingine tunazichoma moto, na si mifugo tu chochote kitakachoingia bila kufata sheria tunapita nacho
chomwa dole la nyoso
 
38 Reactions
Reply
Back
Top Bottom