Kilichofanywa na Serikali ya Kenya siyo Tusi la Kidiplomasia kwa Serikali ya Tanzania?

Kwanini Kenya tu na sio nchi zingine?nakumbuka kuna watanzania walifukuzwa huko msumbiji lkn Tanzania ilihandle hili jambo vizur na uhusiano wetu uko poa. Naona mahusiano ya Kenya na nchi zingine za EAC hayako poa sana. Na ukichek Tanzania inaiva vizur sana na nchi zote za EAC Kasoro Kenya. Kwanini?
 
Wachezeeni hao hao Wakenya ila siyo Wanyarwanda. Wenzako walio katika Vitengo wanajua uwezo na nguvu ya Kivita iliyo nayo Rwanda. Narudia tena kusema na kusisitiza Kwako tena kwa jeuri kubwa kabisa kamba wachezeeni hao hao Wakenya ila msije mkakosea mkajichanganya wa Rwanda na Wanyarwanda kwani ndani tu ya muda mfupi Tanzania yeu itakuwa mali ya Rwanda. Naomba niishie hapa tafadhali. Halafu mada iliyopo mezani ni suala la Kenya na Tanzania hili la Rwanda hapa limeingiaje? Mbona unakuwa kama vile Mwanamke Malaya ambaye anataka kupigwa Paipu?

hahahaha GENTAMYCINE.... wamekuuingiza chaka na wewe? nguvu ya kitu gani vile? hahahaha pata kinywaji utulie, tuko vizuri.
 
niah,

Duuuuuuh!!

Kumbe, maana nasikia mtu wa Mara hakosi panga ubavuni.

Ila huyo siyo wa Mara huwa anajiita mtutsi wa Rwanda , mara mkurya ghafula mhaya.


Huyo ni pandikizi asiye na shina.
Genta njoo ujieleze wewe ni mtu gani???
 
hahahaha GENTAMYCINE.... wamekuuingiza chaka na wewe? nguvu ya kitu gani vile? hahahaha pata kinywaji utulie, tuko vizuri.


HEKIMA KWANZA ,

Huyo ni mtoto wa nursery school/ shule za chekechea.

Naelewa alichokileta ila njia hiyo nimeipita mwezi mmoja uliopita ndiyo yeye analeta Uzi kama huo.

Kinyango tumekichonga wenyewe hakiwezi kututisha hata kikikaa darini au mezani.

Yeye na boss wake wote ni vinyago vya mpapure.
Tuliobarikiwa akili na IQ 140+ vinyago hivyo huwa havitutishi maana, naelewa mahala pa kukivunja kikakosa sura kinachojifanya kuwa nayo.

Ili udhibitishe kuwa ni mtoto kwenye haya maswala aliyowekwa na boss wake ila hana uwezo huo , angalia hilo bandiko ulilomnukuu namba #82 alivyo "panic na kufanya makosa ya kiuandishi" hiyo inaitwa "forensic wording errors with brain misarrangement due to involuntary move of sparks in the neurons".

Hayo makosa hufanyika pale akili ya mtu na maneno yake hayana ushirikiano kulingana na kulazimisha akili ifanye tofauti na kitu kilichotokea.
 
Nchini Kenya taasisi ya uraisi haina mchepuko wa kitaasisi.Au kwa lugha ya fani ya mitambo tungesema kuwa system haina bypass valve.
 
Kwa miaka Kenya waliwaona Watanzania kama wapiga domo bila matendo ndio sababu wakageuza Tanzania kuwa shamba la kuchunga mifugo yao. Kuanzia sasa watajua Watanzania wanaweza kutenda, nchi ina mipaka ambayo ni lazima iheshimiwe vinginevyo waongeze bajeti ya kufidia wafugaji waao.

Hoja kwamba fidia ni matusi ya kidplomasia naona ni mzaha, kwangu mimi hiyo ni sawa na kukubali kukubali kuwa walijua wafugaji wao wanvusha mifugo kwenda nchi nyingine bila utaratibu maalum na kwa sababu hawakufanya chochote sasa wafidie kwa kosa la kutowapa ELIMU ya kuheshimu mipaka.Next term, wapige hodi kabla hajaingia kwenye nyumba za watu otherwise wawe tayari kwa lolote watakalokutana nalo. Tanzania mpya!
....Humu nchini wafugaji kila siku wanaharibu mazao ya wakulima na pia kulisha kwenye hifadhi za taifa. Mbona mifugo haikamatwi na kupigwa mnada?
 
Magufuli atawanyoosha tu Hadi inchi jirani wanaisoma namba
....Hivi kwa sasa Kenya na sisi nani anaisoma namba? Umewasikiliza akina Bashe, Selukamba bungeni? Nani hasa anaisoma namba?
 
Kwanini Kenya tu na sio nchi zingine?nakumbuka kuna watanzania walifukuzwa huko msumbiji lkn Tanzania ilihandle hili jambo vizur na uhusiano wetu uko poa. Naona mahusiano ya Kenya na nchi zingine za EAC hayako poa sana. Na ukichek Tanzania inaiva vizur sana na nchi zote za EAC Kasoro Kenya. Kwanini?


MISULI ,
Jambo la Kenya lina mambo mengi sana "underground sabotage move" ambayo Kenya imeshindwa kuifanya ndani ya EAC na kwa Tanzania maana kila wakijaribu jambo Tanzania huwa tayari tumevuka huo ukurasa.

Sasa, ukiangalia kiundani wanataka watuburuze fulani hivi katika mambo mengi, kitu ambacho kama nchi yenye misingi hatuwezi kwenda kama wapuuzi.


Mbaya zaidi, bomba la mafuta limeharibu sana hali ya hewa , japo Kenya na Uhuru Kenyatta hajasema sana na ndiyo maana sasa, unamuona huyo Kenyatta akaamua kusema kuwa hata kama Uganda wameleta bomba huku Kwengine ila wao kama Kenya bado watajenga lao.
Haa haaa haaa haaa inabidi nicheke kwanza.

Mwisho, uchaguzi wa juzi home kwao, umechangia japo kwa kiasi ambacho siyo kikubwa sana.

Ni jambo la kawaida kwa nchi na watu kuwa na mtu wanayemtaka awe kiongozi.Maana, nchi hata za ulaya na USA tumeona viongozi au watu wenye ushawishi mkubwa wakiwa na matarajio fulani au juu ya mtu fulani awe kiongozi katika hizo nchi wanachama.

Tanzania, kama nchi hatukuonesha mlengo japo inafahamika kuwa Rais wetu hata kabla ya yeye kuwa Rais ni rafiki mkubwa wa Raila na familia zao miaka mingi sana.

Hivyo, serikali ya Kenya wanachukulia urafiki wa Rais wetu na Raila kutengeneza uadui na wanauvusha hadi kuupelekea uonekane kama uadui wa ki-nchi kitu ambacho siyo sahihi japo wanakifanya kwa kukusudia na wanaelewa wanachokifanya.

Sasa reaction yetu inakuwa silent ila inawaumiza sana vichwa vyao maana, wanachezea akili kubwa ila iliyo kimyaaaa, matendo tu yanawaelekeza njia sahihi wanayopaswa kuifuata.

Ila, tutakuwa Sawa tu kwa sasa ni swala la muda.
 
Kwa miaka Kenya waliwaona Watanzania kama wapiga domo bila matendo ndio sababu wakageuza Tanzania kuwa shamba la kuchunga mifugo yao. Kuanzia sasa watajua Watanzania wanaweza kutenda, nchi ina mipaka ambayo ni lazima iheshimiwe vinginevyo waongeze bajeti ya kufidia wafugaji waao.

Hoja kwamba fidia ni matusi ya kidplomasia naona ni mzaha, kwangu mimi hiyo ni sawa na kukubali kukubali kuwa walijua wafugaji wao wanvusha mifugo kwenda nchi nyingine bila utaratibu maalum na kwa sababu hawakufanya chochote sasa wafidie kwa kosa la kutowapa ELIMU ya kuheshimu mipaka.Next term, wapige hodi kabla hajaingia kwenye nyumba za watu otherwise wawe tayari kwa lolote watakalokutana nalo. Tanzania mpya!


HEKIMA KWANZA ,

Hakika mkuu,

Tanzania sasa hivi hakuna tena ule ujamaa wa kuchekea-chekea wanaoharibu Mali na Sera zetu za ndani na nje ya nchi yetu.

Ng'ombe wakafugie Ikulu ya Kenya kama wameumia sana.

Wakenya wakivusha ng'ombe bila kufata utaratibu kuja Tanzania wakiwafikisha tu,tunawakamata, wengine, tunawachoma moto na kwa watakaobakia tunawapiga mnada kama wa Dr. Louis Shika ''''900 itapendeza sana"".

Tanzania mpya, na maslahi ya Taifa kwanza.
 
Kwa miaka Kenya waliwaona Watanzania kama wapiga domo bila matendo ndio sababu wakageuza Tanzania kuwa shamba la kuchunga mifugo yao. Kuanzia sasa watajua Watanzania wanaweza kutenda, nchi ina mipaka ambayo ni lazima iheshimiwe vinginevyo waongeze bajeti ya kufidia wafugaji waao.

Hoja kwamba fidia ni matusi ya kidplomasia naona ni mzaha, kwangu mimi hiyo ni sawa na kukubali kukubali kuwa walijua wafugaji wao wanvusha mifugo kwenda nchi nyingine bila utaratibu maalum na kwa sababu hawakufanya chochote sasa wafidie kwa kosa la kutowapa ELIMU ya kuheshimu mipaka.Next term, wapige hodi kabla hajaingia kwenye nyumba za watu otherwise wawe tayari kwa lolote watakalokutana nalo. Tanzania mpya!
Hopeless argument only from a hopeless mind.

Watanzania walikamata ng'ombe 1,600 wanaomilikiwa na wafugaji wa Kenya walioingia ndani ya ardhi ya Tanzania. Kenya ikakamata ng'ombe 4,000 wanaomilikiwa na wafugaji wa Tanzania walioingia nchini Kenya.

Watanzania wakawamata wafugaji wa Kenya na ng'ombe wao. Wafugaji wakawekwa korokoroni za polisi, ng'ombe wao 1,600 wakapigwa mnada. Serikali ikachukua fedha ikapeleka Hazina.

Kenya ikawafidia wafugaji wao walionyang'anywa ng'ombe na serikali dhalimu. Ikaitaarifu serikali ya Tanzania kuwa iwajulishe wafugaji wa Tanzania walioingiza ng'ombe Kenya, waende kuwachukua ng'ombe wao nchini Kenya. Hawakuuza hata ng'ombe mmoja, hawakumlaza korokoroni mfugaji wa hata mmoja wa ng'ombe toka Tanzania.

Katika haya mataifa mawili, Taifa lipi lina serikali na lipi ina kundi la viongozi dhalimu? Huku ukijua kuwa wajibu mkuu wa serikali ni kuwahakikishia ustawi watu wake. Je, Kenya ingeiga ujinga wa Tanzania, nchi gani ingepata maumivu makubwa zaidi?
 
MISULI ,
Jambo la Kenya lina mambo mengi sana "underground sabotage move" ambayo Kenya imeshindwa kuifanya ndani ya EAC na kwa Tanzania maana kila wakijaribu jambo Tanzania huwa tayari tumevuka huo ukurasa.

Sasa, ukiangalia kiundani wanataka watuburuze fulani hivi katika mambo mengi, kitu ambacho kama nchi yenye misingi hatuwezi kwenda kama wapuuzi.


Mbaya zaidi, bomba la mafuta limeharibu sana hali ya hewa , japo Kenya na Uhuru Kenyatta hajasema sana na ndiyo maana sasa, unamuona huyo Kenyatta akaamua kusema kuwa hata kama Uganda wameleta bomba huku Kwengine ila wao kama Kenya bado watajenga lao.
Haa haaa haaa haaa inabidi nicheke kwanza.

Mwisho, uchaguzi wa juzi home kwao, umechangia japo kwa kiasi ambacho siyo kikubwa sana.

Ni jambo la kawaida kwa nchi na watu kuwa na mtu wanayemtaka awe kiongozi.Maana, nchi hata za ulaya na USA tumeona viongozi au watu wenye ushawishi mkubwa wakiwa na matarajio fulani au juu ya mtu fulani awe kiongozi katika hizo nchi wanachama.

Tanzania, kama nchi hatukuonesha mlengo japo inafahamika kuwa Rais wetu hata kabla ya yeye kuwa Rais ni rafiki mkubwa wa Raila na familia zao miaka mingi sana.

Hivyo, serikali ya Kenya wanachukulia urafiki wa Rais wetu na Raila kutengeneza uadui na wanauvusha hadi kuupelekea uonekane kama uadui wa ki-nchi kitu ambacho siyo sahihi japo wanakifanya kwa kukusudia na wanaelewa wanachokifanya.

Sasa reaction yetu inakuwa silent ila inawaumiza sana vichwa vyao maana, wanachezea akili kubwa ila iliyo kimyaaaa, matendo tu yanawaelekeza njia sahihi wanayopaswa kuifuata.

Ila, tutakuwa Sawa tu kwa sasa ni swala la muda.
Hadithi ndefu lakini hakuna content. Ni hisia tupu hakuna uthibitisho hata katika jambo moja.
 
Shida ni kuwa Kitu kinafanywa na jitu moja lenye roho mbaya alafu lawama zinatumwa kwa taifa zima.....sasa hivi wakenya hawasemi flani ni katili na ana roho mbaya bali wanasema Watanzania ni makatili na ina roho mbaya....

Hata mie Sir Mweli wa watu spendagi unafki
Wewe haujitambui. Nyie ni wanafiki san a lakini hata akili hamna.

Zimekamatwa ng'ombe hata za Watanzania ziikauzwa kwa kuingizwa kwenye maeneo yasiyoruhusiwa, kwa nini hamkutoa povu?? Wakenya wana thamani kuliko Watanzania??

Sema km kuna sheria imekiukwa.
 
Kwanini Kenya tu na sio nchi zingine?nakumbuka kuna watanzania walifukuzwa huko msumbiji lkn Tanzania ilihandle hili jambo vizur na uhusiano wetu uko poa. Naona mahusiano ya Kenya na nchi zingine za EAC hayako poa sana. Na ukichek Tanzania inaiva vizur sana na nchi zote za EAC Kasoro Kenya. Kwanini?
Nadhani katika awamu hii, serikali ya Tanzania inaiva zaidi na nchi zenye uongozi wenye elements za dictatorship. Labda serikali yetu ina mlengo huo ndiyo maana tinaendana nao vizuri.
 
Sio Kenya tu hata waingereza wameisifu serikali ya Tanzania lakini wenyewe hawastuki jinsi wengine wanavyomanage stress kwa uungwana sana.

Sasa dere anaelewa???!! Huu ustarabu ndio shida I lipo. Kama raia wako unawandle kishenzi unafikiri wageni atawaheshimu??.
 
....Hivi kwa sasa Kenya na sisi nani anaisoma namba? Umewasikiliza akina Bashe, Selukamba bungeni? Nani hasa anaisoma namba?
Mzunguko wa fedha kwa mwezi umeshuka toka TZS 220 billion mpaka TZS 10 billion. Wajinga wanaendelea kupiga makofi!!!
 
Nadhani katika awamu hii, serikali ya Tanzania inaiva zaidi na nchi zenye uongozi wenye elements za dictatorship. Labda serikali yetu ina mlengo huo ndiyo maana tinaendana nao vizuri.
Vipi uhusiano wa Kenya na nchi zingine za EAC ukiacha Tanzania ni wakuridhisha?Au ni ule urafiki wa kawaida wa kupeana salam tu?
 
Bams
Kama umeisoma yote basi utakuwa umeelewa.
Sijaona uthibitisho. Napenda sana kujitenga na hisia maana hisia bila uthibitisho hujenga majungu.

Tuishi katika ukweli. Tuukiri ukweli. Tulipo bora tuboreshe zaidi. Tulipo dhaifu, tukiri, tujirekebishe. Maskini hapigi hatua kwa kumchukia aliyemtangulia bali kwa kujifunza, kuiga, jitihada na tamaa ya kufika alipofika aliyemtangulia.

Jamii yetu imejengwa na watu wengi wenye mawazo ya kihusda, na wivu dhidi ya waliofanikiwa. Na hiyo siyo dhidi ya mataifa mengine bali hata dhidi ya Watanzania wenzetu. Hiyo ni kasoro kubwa.
 
Back
Top Bottom