Kilaza/kipanga ni yupi hasa?

tindikalikali

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
4,855
1,117
Wadau nimekuwa nikitatizwa na uwezo wa watu katika kufaulu mitihani. Kuna watu huwa wanafeli std 7 lakin huja kufaulu form 4, wapo wanaofaulu form 4 na kuja kufeli form 6. Na wengine wanafeli vibaya form 6 na wanafaulu vizuri. Vivyo hivyo chuo kikuu. Hapa nashindwa kuwatofautisha vipanga na vilaza{ukiwatoa wale ambao hawajawah kufeli katika masomo yao}.
 
Mkuu huo ukiliza na upanga mnaujua nyinyi (wewe na wengine wenye mawazo yako) lakn in actual sence, hakuna kilaza wala sijui kipanga. Nakushaur unapoangalia uwezo wa mtu usiangalie ki masomo2. Angalia hata uwezo wa kutafta maisha na kuyamudu.
 
Mkuu huo ukiliza na upanga mnaujua nyinyi (wewe na wengine wenye mawazo yako) lakn in actual sence, hakuna kilaza wala sijui kipanga. Nakushaur unapoangalia uwezo wa mtu usiangalie ki masomo2. Angalia hata uwezo wa kutafta maisha na kuyamudu.
nashukuru kwa ushauri, mi nipo ktk masomo{ndiyo maana nimekuwa specific kwani}, ngoja niwasubiri wenye mawazo ya aina yangu.
 
Muanzisha sredi unaonekana mjivuni sana wewe!!! wengi wenu mnakuja kufeli kwenye maisha tu,shule mnakuwa mnafaulu sana lakini mkiingia mtaani hamna kitu haaaaaaaaaaaaa!!!!! O-Level:DIv I Point 7--- A Tisa,A-Level:DIV I Point 3,CHuo unapata GpA 4.9,,,,Then unaingia mtaani mpaka miaka mitatu huna hata kiwanja full kutembea kwa mguuu haaaaaaaaaaaaaaa!!!
 
Muanzisha sredi unaonekana mjivuni sana wewe!!! wengi wenu mnakuja kufeli kwenye maisha tu,shule mnakuwa mnafaulu sana lakini mkiingia mtaani hamna kitu haaaaaaaaaaaaa!!!!! O-Level:DIv I Point 7--- A Tisa,A-Level:DIV I Point 3,CHuo unapata GpA 4.9,,,,Then unaingia mtaani mpaka miaka mitatu huna hata kiwanja full kutembea kwa mguuu haaaaaaaaaaaaaaa!!!
duh yamekuwa hayo? Ni kweli kufaulu mitihani siyo kufaulu maisha, ni vitu viwili tofauti lakini vinategemeana, lengo halikuwa kuonesha ujivuni>kufel ni tatizo{fikiria mtu mwenye div 1 form 4 then akapata div 0 form 6}, huyu lazma ana matatizo au kuna matatizo.
 
Kuna sababu nying za kufel au kufaulu.
1. Mazingra: mazngra yanachangia maendeleo ya mtoto. Na hakuna mazngra yanayo fit kwa kila mwanafunz. Mf. Mwanafunz o level alisoma day then advance aende boarding inaweza badil matokeo yake.
2. Kujisahau. Kuna kipind mwanafunz anajisahau kwa kujihis kuwa tayar ameshafika. Mf. Mwanafunz anaweza o level atoke fresh then advance anajisahau, si ukilaza wala ukipanga.
3. Family problem kama kufiwa na watu wake wa karbu inaweza kuwa sababu ya kubadil matokeo.
Sababu zipo nying ila hakuna kilaza wala kipanga.
 
Basi kwa hoja yako hiyo nakiri kwamba hakuna mtu kilaza wala kipanga.

duh yamekuwa hayo? Ni kweli kufaulu mitihani siyo kufaulu maisha, ni vitu viwili tofauti lakini vinategemeana, lengo halikuwa kuonesha ujivuni>kufel ni tatizo{fikiria mtu mwenye div 1 form 4 then akapata div 0 form 6}, huyu lazma ana matatizo au kuna matatizo.
 
Kuna sababu nying za kufel au kufaulu.<br />
1. Mazingra: mazngra yanachangia maendeleo ya mtoto. Na hakuna mazngra yanayo fit kwa kila mwanafunz. Mf. Mwanafunz o level alisoma day then advance aende boarding inaweza badil matokeo yake.<br />
2. Kujisahau. Kuna kipind mwanafunz anajisahau kwa kujihis kuwa tayar ameshafika. Mf. Mwanafunz anaweza o level atoke fresh then advance anajisahau, si ukilaza wala ukipanga.<br />
3. Family problem kama kufiwa na watu wake wa karbu inaweza kuwa sababu ya kubadil matokeo.<br />
Sababu zipo nying ila hakuna kilaza wala kipanga.
kuna mtu nilipata kumsikia akidai kwamba vilaza hawapo, lakini hili sikubalian nalo sana, inatokea mtu ana favourable conditions na still anafeli, lakin mwingne ndan ya mazingira magumu anafaulu.
 
kuna mtu nilipata kumsikia akidai kwamba vilaza hawapo, lakini hili sikubalian nalo sana, inatokea mtu ana favourable conditions na still anafeli, lakin mwingne ndan ya mazingira magumu anafaulu.
<br />
<br />
thats why nimesema hakuna mazingira yanayomfaa kila mwanafunzi. Wengine ukiwapa mazngra mazur ndio tayar umeshampoteza and viceversa is true.
 
Mkuu huo ukiliza na upanga mnaujua nyinyi (wewe na wengine wenye mawazo yako) lakn in actual sence, hakuna kilaza wala sijui kipanga. Nakushaur unapoangalia uwezo wa mtu usiangalie ki masomo2. Angalia hata uwezo wa kutafta maisha na kuyamudu.
Kwahiyo unataka uniambie kuna kipanga na kilaza wa shule na maisha?
 
jamani hata hayo mazingira ambayo mnayazungumzia yanaweza kumfanya mtu aonekane kilaza au kipanga. kwa mfano wanafunzi wote wanaweza kuwa katika mazingira magumu, lakini ile kutambua kuwa upo katika mazingira hayo na kutafuta jinsi ya kufaulu katika mazingira hayo, ni ukipanga, kinyume chake ni ukilaza. pia watu katika mazingira mazuri, bado humohumo wapo wanao feli. kwa hili huwezi ukaniambia hakuna vilaza bwana. Au utamkuta mtu yuko chuo kikuu halafu yupo bize sanaa na mambo mengine kama uongozi, mahusiano, nk, na anasahau kabisa kutia bidii kwenye masomo, ukilaza umekaa hapo bwana. Sisemi mkiwa cuo msifanye mambo mengine, kipanga ni yule anayeweza kujitambua na kubalansi mambo bwana, mfano muandishi wa makala ya maswali magumu, aliweza kuandika na cw zilisoma vizuri.
 
jamani hata hayo mazingira ambayo mnayazungumzia yanaweza kumfanya mtu aonekane kilaza au kipanga. kwa mfano wanafunzi wote wanaweza kuwa katika mazingira magumu, lakini ile kutambua kuwa upo katika mazingira hayo na kutafuta jinsi ya kufaulu katika mazingira hayo, ni ukipanga, kinyume chake ni ukilaza. pia watu katika mazingira mazuri, bado humohumo wapo wanao feli. kwa hili huwezi ukaniambia hakuna vilaza bwana. Au utamkuta mtu yuko chuo kikuu halafu yupo bize sanaa na mambo mengine kama uongozi, mahusiano, nk, na anasahau kabisa kutia bidii kwenye masomo, ukilaza umekaa hapo bwana. Sisemi mkiwa cuo msifanye mambo mengine, kipanga ni yule anayeweza kujitambua na kubalansi mambo bwana, mfano muandishi wa makala ya maswali magumu, aliweza kuandika na cw zilisoma vizuri.
Umeeleweka vizuri, nadhani ulitaka kusema hakuna kipanga/kilaza wa kudumu katika maisha ya shule?
 
Unaweza ukawa kipanga kwa vilaza na ukawa kilaza kwa vipanga.Mimi nilianzia shule kijijini,nilikuwa sivuki top 3,lakini nilivyohamia mjini,mtihani wa kwanza nikashika nafasi ya 95 kati ya 120,mpaka nilipojipanga upya na kurudisha heshima.Hivyo haya mambo yanategemea na mambo mengi yakiwemo mazingira ya nyumbani na ya shulen pia.Shule za kata zimeongoza kwa wanafunzi waliopata sifuri lakini kwenye mitihani ya shule zao walikuwepo waliokuwa wanashika nafasi ya kwanza,ilipokuja NECTA wakaangukia visigino.
 
Unaweza ukawa kipanga kwa vilaza na ukawa kilaza kwa vipanga.Mimi nilianzia shule kijijini,nilikuwa sivuki top 3,lakini nilivyohamia mjini,mtihani wa kwanza nikashika nafasi ya 95 kati ya 120,mpaka nilipojipanga upya na kurudisha heshima.Hivyo haya mambo yanategemea na mambo mengi yakiwemo mazingira ya nyumbani na ya shulen pia.Shule za kata zimeongoza kwa wanafunzi waliopata sifuri lakini kwenye mitihani ya shule zao walikuwepo waliokuwa wanashika nafasi ya kwanza,ilipokuja NECTA wakaangukia visigino.
kweli mkuu na ndiyo maana kuna vipanga wa supplementary
 
Unaweza ukawa kipanga kwa vilaza na ukawa kilaza kwa vipanga.Mimi nilianzia shule kijijini,nilikuwa sivuki top 3,lakini nilivyohamia mjini,mtihani wa kwanza nikashika nafasi ya 95 kati ya 120,mpaka nilipojipanga upya na kurudisha heshima.Hivyo haya mambo yanategemea na mambo mengi yakiwemo mazingira ya nyumbani na ya shulen pia.Shule za kata zimeongoza kwa wanafunzi waliopata sifuri lakini kwenye mitihani ya shule zao walikuwepo waliokuwa wanashika nafasi ya kwanza,ilipokuja NECTA wakaangukia visigino.
ni kweli unachokisena, nilipata kufundisha hesabu katika shule ya kata miaka michache iliyopita. Test ya kwanza walianzia 35%, ndipo nilipowatambua wakoje. Test ya pili wa kwanza alipata 85%, huyu alijiita/walimuita kipanga.
 
ni kweli unachokisena, nilipata kufundisha hesabu katika shule ya kata miaka michache iliyopita. Test ya kwanza walianzia 35%, ndipo nilipowatambua wakoje. Test ya pili wa kwanza alipata 85%, huyu alijiita/walimuita kipanga.
<br />
<br />
kumbe na we ni mwalimu?hongera sana!
 
&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
kumbe na we ni mwalimu?hongera sana!
kwa hiyo katika yote niliyoandika umeliona hilo tu? Kwako kila aliyepata kufundisha ni mwalimu? Naona hata topic imekushinda kuchangia, kwa vyovyote ukilaza unakuhusu.
 
Wadau nimekuwa nikitatizwa na uwezo wa watu katika kufaulu mitihani. Kuna watu huwa wanafeli std 7 lakin huja kufaulu form 4, wapo wanaofaulu form 4 na kuja kufeli form 6. Na wengine wanafeli vibaya form 6 na wanafaulu vizuri. Vivyo hivyo chuo kikuu. Hapa nashindwa kuwatofautisha vipanga na vilaza{ukiwatoa wale ambao hawajawah kufeli katika masomo yao}.
Inategemea na unamfasir vipi kilaza/kipanga. Kuna wanaofaulu sana darasani(kwa sababu wanakariri sana ilichosema mwalimu wake) lakini unapomleta katika uchambuzi na mazingira akawa mtupu kabisa. Mtu huyu kwangu ni kilaza. Na wapo ambao wanafeli sana darasani lakini katika maisha ya kawaida, ni mjuzi sana. Huyu kwangu ni kipanga. MFANO: Wakati nasoma chuo kikuu, kuna jamaa mmoja alikuwa akisimama kuelezea jambo fulani, darasa zima linatulia kwa kuwa anaeleza vitu alivyovifanyia utafiti hasa na anatoa reference sana. Tulikuwa tunamuita Encyclopedia, lakini siku ya mwisho alipata PASS nami nilikuwa na 2nd class, Upper division. Lakini pamoja na yote hayo, bado namkubali kuwa ni kipanga sana zaidi yangu. Na sasa ni mwanasheria wa ofisi fulani na anafanya vema kuliko wale waliofaulu sana darasni
 
Mkuu huo ukiliza na upanga mnaujua nyinyi (wewe na wengine wenye mawazo yako) lakn in actual sence, hakuna kilaza wala sijui kipanga. Nakushaur unapoangalia uwezo wa mtu usiangalie ki masomo2. Angalia hata uwezo wa kutafta maisha na kuyamudu.
Sawa kabisa.
 
Back
Top Bottom