tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Wadau nimekuwa nikitatizwa na uwezo wa watu katika kufaulu mitihani. Kuna watu huwa wanafeli std 7 lakin huja kufaulu form 4, wapo wanaofaulu form 4 na kuja kufeli form 6. Na wengine wanafeli vibaya form 6 na wanafaulu vizuri. Vivyo hivyo chuo kikuu. Hapa nashindwa kuwatofautisha vipanga na vilaza{ukiwatoa wale ambao hawajawah kufeli katika masomo yao}.