hilo ndo chama wanalosema Lowasa kaliaribu wakati lichama lenyewe ndo UPUPU mtupu!Jana Mh. Anne Kilango alimshambulia Naibu waziri ofisi ya waziri Mkuu TAMISEMI Aggrey mwanry kwa madai kuwa amelidanganya bunge juu ya maji. Hata hivyo Spika/Naibu spika hakumtaka kutoa uthibitisho. Kwanini?
Tafakari, Chukua hatua
Quality
Hili nalo neno. Angesema mbunge wa upinzani ungesikia anaambiwa mh.. thibitisha au futa kauli yako!Waarabu wa pemba hujuana kwa kilemba!
angekuwa cdm angeombwa uthibitisho
Nyambali Nyangwine (Tarime-CCM): Nitawaongoza wananchi na mapanga tukawakatekate wawekezaji
Job Ndugai (Naibu Spika - CCM): Aaah, hiyo ni lugha tu ya kule Tarime, haina tatizo