Kilaini yuko sawa kabisa , wanaomuangusha Kikwete ni wasaidizi wake ambao anaona uvivu kutimua nadhani anahofia upweke maana wengi ni rafikii zake
Duh, hii kali sikujua kama JK ana character za Yesu!Yuda Iskariot alichaguliwa na Yesu na akawa mwanafunzi wake miaka mitatu lakini alimsaliti Yesu,Kikwete naye baadhi ya mawaziri wanamsaliti.
Nadhani hapa ameongea kama Kilaini na si kiongozi wa dini
ni kweli Mkono wa Mungu hapo hauwezi kuwepo. kwasababu watu kibao kwa sasa wanaota ndoto za kuwa wabunge na kuwa viongozi mbalimbali wa CCM, ndipo sasa hila vituko, ubabe wa physic ,na nguvu za giza vinaanza.
inasikitisha pale ambapo experts (Walimu, madaktari, wakufunzi, mainjinia ....) nao wanaacha silaha na kuanza kutafuta uongozi.
tujiulize kuna nini? kama si hela zetu zinatafunwa huko na mbaya zaidi ni pale ambapo ni hela za watu masikini sana.
Sasa fikiri kama Docta, na mwalimu wataondoka, na hao wanaobaki mishahara haipandi si ndio mixed operations za ubongo badala ya kucha
zitaongezeka! kweli Kwenye rushwa na fitina mkono wa Mungu Haupo!!!