MTANZANIA620
Member
- Jun 20, 2023
- 45
- 55
Askofu Kilaini atajwa
Zitto alisema, “Kwa upande wa viongozi wa dini ambao waliingiziwa fedha na Benki ya Mkombozi ni Askofu Methodius Kilaini (Sh80.9 milioni), Askofu Eusebius Nzigirwa (Sh40.4 milioni) na Padri Alphonce Twimannye Simon (Sh40.4 milioni).
Aliongeza, “Kamati ya PAC ilithibitishiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru kuwa baadhi ya watu walienda kugawana fedha kwenye benki tajwa (Benki ya Mkombozi inamilikiwa na kanisa katoliki) wakiwa na mifuko ya rambo, sandarusi, maboksi, magunia na lumbesa.”
Kwanini hamkutoa waraka wa kutaka wahusika kurejesha fedha na kuitaka serikali kuwachukulia hatua?
Zitto alisema, “Kwa upande wa viongozi wa dini ambao waliingiziwa fedha na Benki ya Mkombozi ni Askofu Methodius Kilaini (Sh80.9 milioni), Askofu Eusebius Nzigirwa (Sh40.4 milioni) na Padri Alphonce Twimannye Simon (Sh40.4 milioni).
Aliongeza, “Kamati ya PAC ilithibitishiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Takukuru kuwa baadhi ya watu walienda kugawana fedha kwenye benki tajwa (Benki ya Mkombozi inamilikiwa na kanisa katoliki) wakiwa na mifuko ya rambo, sandarusi, maboksi, magunia na lumbesa.”
Kwanini hamkutoa waraka wa kutaka wahusika kurejesha fedha na kuitaka serikali kuwachukulia hatua?