Kilaini: Kikwete bado ni chaguo la Mungu

Mungu huonyesha mambo yake kupitia watu wake.Ndiye chaguo la Uhuru mpya toka kwa mafisadi na ulegelege wetu Watz. Hata shetani aliumbwa na Mungu.Tutakombolewa kupitia Jk na serikali yake dhaifu ila yeye ameandaliwa moto kitambo kijacho.Askari aliyeasi hupata adhabu kali.
Kwahiyo Kilaini was right na kwamba tunatakiwa tuingie kwenye vurugu za kidini kwasababu Mungu alitaka iwe hivyo?Mbona kwenye arguments zake hakuliweka hilo?Umesoma bandiko langu #217 kwenye angalizo?Umesoma kwamba alisema ni chaguo la Mungu kwasababu eti ametoa uhuru wa habari?Umesoma pale nilipoipondelea mbali hiyo hoja ya uhuru wa habari aliyoitumia Kilaini?

Umesoma kuhusu wasaidizi kwamba ndo tatizo na si yeye JK?Umesoma kwamba ni msadizi wake(Pinda) ndiye aliyeumaliza huo mgogoro wa kuhusu misamaha ya kodi?
 
Hapa hoja Imeletwa kwa watu Wa ku oppose govt tu!
Kwa hiyo kazi hapa kwa members wengi ni ku crush tu ishu yeyote mtu yeyote anaeipongeza serikali au kiongozi yeyote Wa serikali ili mradi tu apinge tu hata ukweli unapingwa tu humu.
Ukibisha wewe sema tu unaitwa nani utaona ma mamtu yanakupinga hata Jina lako!
 
Hapa hoja Imeletwa kwa watu Wa ku oppose govt tu!
Kwa hiyo kazi hapa kwa members wengi ni ku crush tu ishu yeyote mtu yeyote anaeipongeza serikali au kiongozi yeyote Wa serikali ili mradi tu apinge tu hata ukweli unapingwa tu humu.
Ukibisha wewe sema tu unaitwa nani utaona ma mamtu yanakupinga hata Jina lako!
Kuipose Govt?Umezisoma hoja?Unaweza ukamsaidia Kilaini kuzijibu badala ya kuja na cheap rhetorics?

Please dont let naivette overcome your decency!
 
Jamani fikirieni kwanza. Kilaini huyu akiamka asubuhi chai inamgoja. Mchana ugali uko mezani. Jiono hadi kadhalika toke lipo. Atamjua Mungu? Yeye anashiba na hajui uchungu wa watanzania wanaomshibisha. Yeye kama kiongozi anapaswa kutuongoza katika kweli na haki na sii kutumia jina la Mungu katika kujishibisha yeye mwenyewe. Atashangaa sana hiyo siku atakapohukumiwa na Mungu wa kweli kwani hiyo ndiyo siku atakayomjua Mungu na chaguo zake zote. Shame on him!
 
Wakuu zangu,

Maneno ya Askofu huyu yasichukuliwe kimzaha kabia. Kuna ukweli mwingi kuliko kufikiria vitu hivi kwa haraka pasipo kupima maneno ya Askofu.

Nilichomwelewa mimi Askofu kaelezea matatizo yaliyopo ktk Uongozi wa Kikwete na hakika ukisoma kwa makini utagundua kwamba Mambo yote haya yanatokana na UDHAIFU wa kiongozi huyu ktk utendaji kazi wake pamoja na kwamba alikuwa na malengo mazuri.

Tusijidanganye kabisa kwamba Kikwete hapendwi, bado wapo wengi wanampenda kwa ile nia yake nzuri kama wanavyosema wao na lawama hizi ziwafikie wale walioshindwa pamoja na kwamba JK kashindwa kuwachukulia hatua. Hisia hizi zipo kwa Watzanania wengi sanma kama vile wanavyoshindwa kukihukumu chama kizima cha CCM kwa Ufisadi na kushindwa kuongoza isipokuwa tuwashutumu baadhi ya viongozi wenye mapungufu hata kama chama kimeshindwa kuwachukulia hatua.

Bado CCM ni chaguo la wengi hivyo kuna ukweli mkubwa kwamba bado Kikwete ni chaguo la wengi..Hivyo maadam watu wamechagua hivyo basi bila shaka ni chaguo la Mungu. Huyu ni nchungaji mlitaka atumie kitabu gani au lugha gani zaidi?.. By the way hata mimi naamini - Nothing happens ,but by the power of the grace of God..

What? Unasemaje? Kwani Kikwete kupendwa na wengi ndio ni nini? Yeye ni mtu binafsi na kupendwa ni haki yake kama ilivyo kwa mtu mwingine yoyote!! Sasa kama wanaomwangusha ni wana CCM, huku akionyesha kutokuwakemea hata kwa yale yaliyo wazi kabisa!!! Kwa hiyo CCM iendelee kutawala kwa kuwa Kikwete kama mtu anapendwa na ana nia nzuri? This reasoning is not too convincing is it? Remember even the devil is very poweful!!!
 
What? Unasemaje? Kwani Kikwete kupendwa na wengi ndio ni nini? Yeye ni mtu binafsi na kupendwa ni haki yake kama ilivyo kwa mtu mwingine yoyote!! Sasa kama wanaomwangusha ni wana CCM, huku akionyesha kutokuwakemea hata kwa yale yaliyo wazi kabisa!!! Kwa hiyo CCM iendelee kutawala kwa kuwa Kikwete kama mtu anapendwa na ana nia nzuri? This reasoning is not too convincing is it? Remember even the devil is very poweful!!!
Haya unayasema wewe lakini maadam alichaguliwa kwa kupiga kura, inaonyesha wazi alipendwa. Demokrasia ni kupitia sanduku la KURA hakuna kitu kingine na kama tutaendelea kufikiria kwa kupitia sanduku la kura basi jueni mshindi huchaguliwa na watu wengi na ina maana moja tu ANAPENDWA na watu wengi zaidi regardless hi ndio - Popular vote.
 
Haya unayasema wewe lakini maadam alichaguliwa kwa kupiga kura, inaonyesha wazi alipendwa. Demokrasia ni kupitia sanduku la KURA hakuna kitu kingine na kama tutaendelea kufikiria kwa kupitia sanduku la kura basi jueni mshindi huchaguliwa na watu wengi na ina maana moja tu ANAPENDWA na watu wengi zaidi regardless hi ndio - Popular vote.
Ni kweli mkuu,lakini kwa mujibu wa Kilaini,ina maana kwamba haya ya udini na mifarakano ni mpango wa Mungu.Sasa habari hiyo ya 2010 kupitia gazeti la mwananchi,alikuwa bado anaiback up kauli yake.

Mwaka huu 2012,nimeitumia kauli yake ya kui back up kauli aliyoitoa 2010,kwa kuuliza maswali kama bado anaiback up.Kwasababu mkuu si kweli kwamba JK anapendwa na wananchi wengi.Hata uchaguzi wa 2010 uli prove hilo.

Hiyo ni 2010 aliposema kwamba JK bado ni chaguo la Mungu,can he back up his statement in year 2012?
 
Ni kweli mkuu,lakini kwa mujibu wa Kilaini,ina maana kwamba haya ya udini na mifarakano ni mpango wa Mungu.Sasa habari hiyo ya 2010 kupitia gazeti la mwananchi,alikuwa bado anaiback up kauli yake.

Mwaka huu 2012,nimeitumia kauli yake ya kui back up kauli aliyoitoa 2010,kwa kuuliza maswali kama bado anaiback up.Kwasababu mkuu si kweli kwamba JK anapendwa na wananchi wengi.Hata uchaguzi wa 2010 uli prove hilo.

Hiyo ni 2010 aliposema kwamba JK bado ni chaguo la Mungu,can he back up his statement in year 2012?
Akichaguliwa tena kugombea utasema nini?..
 
Kuongoza 3 terms?katiba ya sasa hairuhusu hilo mkuu.

Ila taifa linaangamia machoni petu hilo liko wazi,watu wanachukiana sasa bana siyo siri tena.
Hujanielewa bado.. Sasa kama unaelewa hivyo huyo Kilaini atasema vipi kuwa chaguo la Mungu ikiwa alichosema ni kutokana na uchaguzi ulompitisha JK kuwa mgombea Urais. Kumbuka huyu ni mchungaji na kila inapotokea jambo lazima amtangulize Mungu hata kama yeye hapendi. Ndio ile ya Rev. Kishoka aliposema Thanks God for giving us JK..
 
Hujanielewa bado.. Sasa kama unaelewa hivyo huyo Kilaini atasema vipi kuwa chaguo la Mungu ikiwa alichosema ni kutokana na uchaguzi ulompitisha JK kuwa mgombea Urais. Kumbuka huyu ni mchungaji na kila inapotokea jambo lazima amtangulize Mungu hata kama yeye hapendi. Ndio ile ya Rev. Kishoka aliposema Thanks God for giving us JK..
Nina uhakika anaijutia kauli yake,unless atoe maelezo ya tofauti na siyo kama alivyosema kuhusu uhuru wa vyombo vya habari pamoja na kusema tagizo ni wasaidizi.Sidhani kama aliwaambia waumini kwamba JK ni chaguo la Mungu ili tupigane vita vya kidini,sidhani.Ya Kishoka ni ya Kishoka,yeye kwenye ile thread yake,ndilo haswa alilosema kuwa alimaanisha baaada ya mjadala kipindi kile.Lakini dhumuni la Kilaini ni tofauti na la Kishoka.Soma hapo juu uone sababu zake za kusisitiza kuhusu chaguo la Mungu mwaka 2010,sidhani kama sababu hizo zinamake sense sasa hivi muda ambao JK bado yuko madarakani.
 
Nina uhakika anaijutia kauli yake,unless atoe maelezo ya tofauti na siyo kama alivyosema kuhusu uhuru wa vyombo vya habari pamoja na kusema tagizo ni wasaidizi.Sidhani kama aliwaambia waumini kwamba JK ni chaguo la Mungu ili tupigane vita vya kidini,sidhani.Ya Kishoka ni ya Kishoka,yeye kwenye ile thread yake,ndilo haswa alilosema kuwa alimaanisha baaada ya mjadala kipindi kile.Lakini dhumuni la Kilaini ni tofauti na la Kishoka.Soma hapo juu uone sababu zake za kusisitiza kuhusu chaguo la Mungu mwaka 2010,sidhani kama sababu hizo zinamake sense sasa hivi muda ambao JK bado yuko madarakani.
"Mwaka 2005 niliwahi kusema kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu... kwa maana kwamba kiongozi yeyote anayechaguliwa na watu anakuwa amesimamishwa na Mungu," alisema Kilaini katika mazungumzo na Mwananchi Jumapili.

"Miaka minne baadaye ameendelea kupendwa kwa kiasi kilekile na wananchi kwa kuwa kweli ni chaguo hasa ambalo Watanzania walilihitaji."
 
"Mwaka 2005 niliwahi kusema kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu... kwa maana kwamba kiongozi yeyote anayechaguliwa na watu anakuwa amesimamishwa na Mungu," alisema Kilaini katika mazungumzo na Mwananchi Jumapili.

"Miaka minne baadaye ameendelea kupendwa kwa kiasi kilekile na wananchi kwa kuwa kweli ni chaguo hasa ambalo Watanzania walilihitaji."
Nina mashaka na uelewa wa imani yake,hilo siyo kweli,kawaingiza waumini "choo cha kike",nadhani aliyasema hayo kwa maslahi yake binafsi.Ama pengine alikurupuka.Kwasababu ninajua fika kuwa Mungu wake yeye si Mungu wa kila mtu,heck I know for sure Mungu wake yeye na wa JK ni wa tofauti,ndo maana ninasema watu wa dini wakae pembeni tu waache siasa kwa wanasiasa.
 
Kilaini ukiuondoa uaskofu wake ni Gamba. Hapa kasema kama magamba mengine yanavyotoa misimamo yao si uliona nguvu ya hoja jana 99.8% walisema raisi ana madaraka makubwa mwanasheria wa ......... akabisha
 
Tumeshachoka na pumba za Kilaini kujipendekeza kwa Kikwete mara kwa mara. Ninavyofahamu hawa watu wawili ni marafiki. Kilaini asitumie urafiki wake binafsi na Kikwete kudanganya Watanzania kuwa Kikwete ni chaguo la Mungu Kilaini anafanya kufuru kubwa kutamka maneno hayo na anapaswa atubu kwa kumsingizia Mungu kuwa kamchagua Kikwete. Mungu gani anayeruhusu ufisadi wa kila aina katika nchi? mungu gani anayeruhusu utoroshwaji wa raslimali za nchi huku wananchi waliowengi wakiteseka na lindi la umaskini wakati nchi yao ni tajiri. Mungu gani anayeruhusu wakinamama kulala chini hospitalini wakasubiri kujifungua huku vigogo na wake zao wakitibiwa nje? mimi sikubaliani kabisa na maneno ya Kilaini maana yapo kisiasa zaidi kuliko uhalisia.Ki
Nadhani alichozungumza Kilaini ni kwamba Kikwete ana mazuri yake na mabaya yake hivyo watu tunapomchagua tumchague kutokana na vile tunavyompima. Nakubaliana nae ikiwa wananchi watamtaka basi ni kweli yeye ni chaguo la mungu. Ni ngumu sana kwa kiongozi wa kidini kusema rais hafai kwasababu rais ni institution ambayo inatawala nchi sasa hilo jambo linaweza kuleta matatizo baadae. Kiufupi hapo Kilaini ametumia hekima kusema Kikwete achaguliwe vile tunavyomuona. Huo utendaji na nini ni siasa tupu hamna jengine.
 
Jina lake sasa eti kiaiiiiini........anadanganyika kilaini na wanasihasa analitumia jina la muumba ovyo
 
Back
Top Bottom