robinson crusoe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2020
- 740
- 1,214
Rais Samia aliwahi kumtukana waziri wake kwamba alifanya 'nonsense'. Limekuja suala ya kuuza bandari sasa kila waziri na wanasiasa wanainuka kutetea uuzwaji huo wanaongea nonsense!
Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Mbalawa kajitutumua akajikuta anataja idadi ya meli wanazomiliki DPW.
Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Spika alijitutumua akajikuta anaeleza umuhimu wa kumheshimu rais, eti hata kama ni mjinga.
Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Musukuma alijitutumua kueleza mshangao wake wa kuona binti anabonyeza screen huko Dubai.
Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Nape alijitutumua akajikuta aneleza wabunge wenzake walivyotishika na rais Samia.
Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Kwa ujumla CCM leteni lolote au yeyote kuwekeza lakini leteni mkataba wa akili. Siyo mikataba inayoonesha hatuna viongozi wenye vichwa.
Lukuvi kajitutumua akajikuta nonsense yake inaeleza umuhimu wa kuvutia wawekezaji. Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Mbalawa kajitutumua akajikuta anataja idadi ya meli wanazomiliki DPW.
Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Spika alijitutumua akajikuta anaeleza umuhimu wa kumheshimu rais, eti hata kama ni mjinga.
Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Musukuma alijitutumua kueleza mshangao wake wa kuona binti anabonyeza screen huko Dubai.
Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Nape alijitutumua akajikuta aneleza wabunge wenzake walivyotishika na rais Samia.
Wananchi wanazungumzia MKATABA!
Kwa ujumla CCM leteni lolote au yeyote kuwekeza lakini leteni mkataba wa akili. Siyo mikataba inayoonesha hatuna viongozi wenye vichwa.