Kabende Msakila
JF-Expert Member
- Oct 7, 2020
- 1,398
- 1,264
Salaam ni jadi yetu watanzania!
Mada ni kuwa hata MTU ajitoe vipi ufahamu lkn kila unaposimama au kuangaza macho kazi ya Rais Samia Suluhu kupitia CCM inaonekana bayana. Iko hivi
Miundombinu ya Reli, Barabara, Viwanja vya ndege vinaonekana - CDM hamvioni?
Ajira kwa vijana zimeongezeka sana walimu, watendaji, madaktari, Polisi, Jwtz, uhamiaji, magereza, wameajiriwa - CDM, ACT nk hamuwaoni?
Maridhiano ya kisiasa - Mbowe, Lissu, Mdude, Slaa, Mwabukusi wamefutiwa mashitaka - kweli CDM hamuoni?
Mikopo ya elimu ya juu kuongezeka na idadi ya wadahiliwa kuongezeka - Serikali imesikia kilio chenu watanzania. Sasa haya CDM hawayaoni?
Hitimisho:
Serikali inayoongozwa na Rais Samia inawajali watanzania na haibagui watu kwa dini, rangi, na kabila. Tuipende kwa umoja wetu.
Ngaika Ndenda
Kigoma.
Mada ni kuwa hata MTU ajitoe vipi ufahamu lkn kila unaposimama au kuangaza macho kazi ya Rais Samia Suluhu kupitia CCM inaonekana bayana. Iko hivi
Miundombinu ya Reli, Barabara, Viwanja vya ndege vinaonekana - CDM hamvioni?
Ajira kwa vijana zimeongezeka sana walimu, watendaji, madaktari, Polisi, Jwtz, uhamiaji, magereza, wameajiriwa - CDM, ACT nk hamuwaoni?
Maridhiano ya kisiasa - Mbowe, Lissu, Mdude, Slaa, Mwabukusi wamefutiwa mashitaka - kweli CDM hamuoni?
Mikopo ya elimu ya juu kuongezeka na idadi ya wadahiliwa kuongezeka - Serikali imesikia kilio chenu watanzania. Sasa haya CDM hawayaoni?
Hitimisho:
Serikali inayoongozwa na Rais Samia inawajali watanzania na haibagui watu kwa dini, rangi, na kabila. Tuipende kwa umoja wetu.
Ngaika Ndenda
Kigoma.