Melki the Storyteller
JF-Expert Member
- May 3, 2022
- 5,705
- 9,788
Mpaka nahisi kama vile napitishwa kwenye majaribu. Mwezi ulioisha niliyabananga kwa ofisi, hivyo nikalimwa ban la wiki tatu. Ndipo huyu mwanamke alipohamia jirani na mahali ninapoishi. Kama kawaida nikaamua kumuimbisha.
Mida ya saa nne ninapita gheto, saa nane, saa kumi na moja mpaka akafikia hatua ya kuniuliza, "Hivi wewe ni randa randa? Mbona kama hauko siriazi na maisha? Maake kila muda nakuona nyumbani". Hivyo nikajiwekea ratiba ya kuzurura kuanzia asubuhi ili jioni tena usiku kabisa wa saa 1 hivi ndio nirudi maghetoni
Mara ya kwanza alinikuta kwenye kijiwe cha Simba na Yanga saa tano asubuhi nakunywa kahawa.
Mara ya pili alinikuta mgahawani saa sita mchana nimesinzia huku domo nimeacha wazi.
Mara ya tatu alipishana na mimi nikiwa natokea kwenye jumba la kusukia mikeka huku nimeukunjua mkeka wangu ulionifikia magotini.
Mara ya nne alinikuta nazichapa na mwanamama mmoja hivi mishale ya jua kali kwa sababu X.
Mara ya tano alipishana na mimi nikiwa namtongoza mwanamke, tena aliyenizidi umri mbali sana mithili ya jishangazi (namshukuru Mola kwa kuwa sasa nimerudi kwenye kitengo).
Majuzi kanikuta barabarani natafuna nusu ya mtikiti maji, nilivyoushikilia mithili ya mtu ananyonya mbususu huku mimaji ikiangukia kunako shati.
Jana jioni kanikuta nakimbizana na vitoto akatikisa kichwa kuashiria yamekwisha.
Sijui haya yote yananikuta kwanini.
Mida ya saa nne ninapita gheto, saa nane, saa kumi na moja mpaka akafikia hatua ya kuniuliza, "Hivi wewe ni randa randa? Mbona kama hauko siriazi na maisha? Maake kila muda nakuona nyumbani". Hivyo nikajiwekea ratiba ya kuzurura kuanzia asubuhi ili jioni tena usiku kabisa wa saa 1 hivi ndio nirudi maghetoni
Mara ya kwanza alinikuta kwenye kijiwe cha Simba na Yanga saa tano asubuhi nakunywa kahawa.
Mara ya pili alinikuta mgahawani saa sita mchana nimesinzia huku domo nimeacha wazi.
Mara ya tatu alipishana na mimi nikiwa natokea kwenye jumba la kusukia mikeka huku nimeukunjua mkeka wangu ulionifikia magotini.
Mara ya nne alinikuta nazichapa na mwanamama mmoja hivi mishale ya jua kali kwa sababu X.
Mara ya tano alipishana na mimi nikiwa namtongoza mwanamke, tena aliyenizidi umri mbali sana mithili ya jishangazi (namshukuru Mola kwa kuwa sasa nimerudi kwenye kitengo).
Majuzi kanikuta barabarani natafuna nusu ya mtikiti maji, nilivyoushikilia mithili ya mtu ananyonya mbususu huku mimaji ikiangukia kunako shati.
Jana jioni kanikuta nakimbizana na vitoto akatikisa kichwa kuashiria yamekwisha.
Sijui haya yote yananikuta kwanini.