Kila Siku Namuomba Mungu Nikija Kufa! Nife Kweli.

mzama chumvini

JF-Expert Member
Mar 14, 2016
730
642
Sabakher Wadau; Kuna Kitu Ambacho Nakifikiria Daily! Yaan Namuomba Sana Mungu Nikija Kufa Nisije Kuzinduka Mochwari Usiku! Kwa Sababu Najua Nitachanganyikiwa Sana!! NAOMBA NIKIFA NIFE KWEL.
 
Sabakher Wadau; Kuna Kitu Ambacho Nakifikiria Daily! Yaan Namuomba Sana Mungu Nikija Kufa Nisije Kuzinduka Mochwari Usiku! Kwa Sababu Najua Nitachanganyikiwa Sana!! NAOMBA NIKIFA NIFE KWEL.
Mzama chumvini Hata usiwe Na wasi wasi. Siku ikifika Kidume kinachua roho tu.Lakini ungali hai fanya mambo mazuri Na ukataze mambo mabaya.
 
Bhangi mbaya sana
Sawa Mkuu Mim Navuta Bang!! Ila Omba Mungu Ili Lisikutokee! Mim Ni CO nipo Kazin Mwaka Wa 2 Nacheza Na Cadaver Everyday! Ila Naomba Lisinitokee Hli! Sasa Wew Kama Kidume Fanya Maomb Kinyume Na Mim
 
Sabakher Wadau; Kuna Kitu Ambacho Nakifikiria Daily! Yaan Namuomba Sana Mungu Nikija Kufa Nisije Kuzinduka Mochwari Usiku! Kwa Sababu Najua Nitachanganyikiwa Sana!! NAOMBA NIKIFA NIFE KWEL.
Nakuhakikishia utakufa wiki nzima mpaka ufe kabisa
 
Hata mimi nimewaza mkuu.nikifa nife kweli haya mambo unakufa af unashituka dadadek hata ndugu zako wanakukimbia sitaki.il mshana jr tema mate chini
 
Back
Top Bottom