mzama chumvini
JF-Expert Member
- Mar 14, 2016
- 730
- 642
Sabakher Wadau; Kuna Kitu Ambacho Nakifikiria Daily! Yaan Namuomba Sana Mungu Nikija Kufa Nisije Kuzinduka Mochwari Usiku! Kwa Sababu Najua Nitachanganyikiwa Sana!! NAOMBA NIKIFA NIFE KWEL.
Mzama chumvini Hata usiwe Na wasi wasi. Siku ikifika Kidume kinachua roho tu.Lakini ungali hai fanya mambo mazuri Na ukataze mambo mabaya.Sabakher Wadau; Kuna Kitu Ambacho Nakifikiria Daily! Yaan Namuomba Sana Mungu Nikija Kufa Nisije Kuzinduka Mochwari Usiku! Kwa Sababu Najua Nitachanganyikiwa Sana!! NAOMBA NIKIFA NIFE KWEL.
Omba Mungu Isikukute Mdada!! We Uamke Nyt Saa 3 Halafu Unagundua Kuwa Upo Mortuary Cadaver Ziko Pemben!! Kwa Kwel Na Wew Waza Halafu Ujue Utafanyaje.jamanii,
watu sijui huwa mnawaza nini?
Sawa Mkuu Mim Navuta Bang!! Ila Omba Mungu Ili Lisikutokee! Mim Ni CO nipo Kazin Mwaka Wa 2 Nacheza Na Cadaver Everyday! Ila Naomba Lisinitokee Hli! Sasa Wew Kama Kidume Fanya Maomb Kinyume Na MimBhangi mbaya sana
Ushaisha Mkuu! Yeye Mwenyew Anatumia ID Ya Ajabu Humu! Alinifuma! Nimemfuma! Tumefumaniana.Eee umemaliza ugomvi wako na wife
Kuhusu post zako humu
Nitashukuru Kwa Kwel Kwa Maana CADAVERs huwa HazizoeleliMungu amesikia maombi yako
Nakuhakikishia utakufa wiki nzima mpaka ufe kabisaSabakher Wadau; Kuna Kitu Ambacho Nakifikiria Daily! Yaan Namuomba Sana Mungu Nikija Kufa Nisije Kuzinduka Mochwari Usiku! Kwa Sababu Najua Nitachanganyikiwa Sana!! NAOMBA NIKIFA NIFE KWEL.
Mkuu Mshana Jr! Tema Mate Chin Kaka!! Nikae 1 Week Nalala Na Cadaver.? Duh! Mungu NisaidieNakuhakikishia utakufa wiki nzima mpaka ufe kabisa
Mkuu Mshana Jr! Tema Mate Chin Kaka!! Nikae 1 Week Nalala Na Cadaver.? Duh! Mungu Nisaidie
Aaah! Aaah! Aaah! Bro! Upo Vizur Well Nitakutafuta! Vp Huwez Kufanya Nisife Kabisa?![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
ukitaka kufa mara moja na moja kwa moja nitafute
Hapana hilo ni gumu kwakuwa kila nafsi itaonja mautiAaah! Aaah! Aaah! Bro! Upo Vizur Well Nitakutafuta! Vp Huwez Kufanya Nisife Kabisa?