Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,760
shimo ninini?
nadhani wanaimanisha katikati ya mapaja ya mwanamke kuna kishimo huwa kiko pale na hutumika kutolea mkojo, mtoto
shimo ninini?
Ni kweli na kila shimo na joto lake...
nadhani wanaimanisha katikati ya mapaja ya mwanamke kuna kishimo huwa kiko pale na hutumika kutolea mkojo, mtoto
Hii bajaji ni mtu kabisaa??!!
Au mwenyewe kamkabidhi dereva tu ye anachukua hesabu?!!
Hivi China ndio mtu kafungwa kwa kuweka bango la watu wakiwa uchi??!!
Lens mbonyeoshimo ninini?
unaweza shangaa owner wa bajaj hii ni mwanamke
wanawake kazi kulalama kuhusu 'kudhalilishwa'
but bajaj hii wataipanda kama kawaida
na alieanzisha thread ni mwanamke...
go figure.....
NASAHA ZA GURU Bujibuji.
SHIBE NI BABA WA MAOVU YOTE. KUZISHINDA TAMAA ZA DUNIA NI LAZIMA UJINYIME. JINYIME KULA, FUNGA, SALI NA UTAHAJUDI (MEDITATE) NAWE UTAISHI MAISHA MAREFU YENYE RAHA, FURAHA NA AMANI.
Mmh kwani yako mangapi?
shimo ninini?
Shimo la choo, shimo la taka, shimo la panya, shimo la nguchiro, shimo la tundu...., shimo la tobo...,shimo laaaa....naniliu....! Shimo la futi, shimo la NYAGO!!!????
upo? Kimya sana siku hizina kujilinda na dunia usitende dhambi