Kila shimo na utamu wake

Kila shimo na utamu wake

Nazjaz

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2011
Posts
7,799
Reaction score
9,255
10845897_881998018477712_6792786305385970804_n.jpg
 
Hii bajaji ni mtu kabisaa??!!
Au mwenyewe kamkabidhi dereva tu ye anachukua hesabu?!!

Hivi China ndio mtu kafungwa kwa kuweka bango la watu wakiwa uchi??!!
 
kutokana na rangi ya bajaj, basi mii kimya!
 
umepitia mashimo mangapi hadi sasa

Umesoma hapo chini kwenye bajaji anzia hapo juu kwanza halafu inapita barabarani na trafik wanaiangalia hii nadhani itakuwa photoshop kama ni ya ukweli basi ntashaanga ya firauni.
 
kila shimo na utamu wake..na kila fimbo na uchungu wake..
 
NASAHA ZA GURU Bujibuji.

SHIBE NI BABA WA MAOVU YOTE. KUZISHINDA TAMAA ZA DUNIA NI LAZIMA UJINYIME. JINYIME KULA, FUNGA, SALI NA UTAHAJUDI (MEDITATE) NAWE UTAISHI MAISHA MAREFU YENYE RAHA, FURAHA NA AMANI.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom