Kila ninayemtongoza ana mtu

Kila ninayemtongoza ana mtu

Kuvaa vizur na kujipulizia tena...mmmh

Dogo awe kujichanganya,mcheshi nk
Uwongo mwingi maana madem hawaelewi ukweli kabisaa

Akipiga show nzur owa mmoja akisimulia rafiki yake wanapenda kuzungukana sana...


Hayo mambo ya kuvaa vizur,kujipulizia kisa kupata dem.n ufala

Dogo kaza mwaka wa kwanza ndio tym ya kupata experience
sawa mkuu..ila inategemea na msichana mwenyewe
 
Hahahaaaa njia nyingine jitahidi uwe unapasua zile kozi ngumu ngumu, halafu unamtafuta mrembo mmoja unamualika discussion nae, hawezi kataa, katika kupanga discussion ifanyike wapi, chagua room kwake, hakikisha kweli upo vizuri kwenye kozi hiyo, kila swali linatembea, tumia chance hiyo ya kuwa kwenu wawili tu room kulianzisha polepole, mpaka akiwa vizuri kwenye hiyo kozi hakikisha na wewe umefanikiwa. Kila la kheri.
ngoja nijitahidi darasani
 
Kabla ya Upinzani, Majimbo yote yalikuwa CCM.
Lakini upinzani walivyoanza kuja na mikakati na sera za kueleweka basi Leo DSM Majimbo karibia yote yapo Upinzani.
Jipange na Sera,
Hakuna single girl, but sera zako ndiyo zinakupa Jimbo!
Mbona Me wote ninaonana nao Mpaka wale wenye Ndoa na Pete Vidoleni Wanasema wapo Single!
Mke wa Mtu ana pete 2 bado anasema nipo Single!
Girls ndiyo kwanza hawajawahi hata kudate!
😀angalia mbele wewe, tafuta pesa kijana achana na watoto utapotea😀
toa mbinu mkuu
 
Mkuu badili gia ya kuwaingilia hawa viumbe wanahitahiji ubunifu kidogo ili umung'oe.
 
Utaniambia mmojawapo ni Klyn..... Mengi bila mbunye Klyn angemsikia kwa wenzake. Mbunye unarahisisha unapata mpaka hao wanaodai wana wachumba. Pesa sabuni ya roho huu usemi sio bure.
kuna wasichana wengine pesa wanazo
 
Hujataka bado,endelea kuoga upendeze jasho la shamba likutoke na M/Mungu akikujaalia visent sent basi inshaAllah utawapata woote
 
Siku hizi ukishapata number onesha upo vizuri, weka appointment sehemu ya kuelewekaa, ukipigwa kizinga usifikirie Mara 2, ukiropoka tu nakupenda ujue ushamkosa huyooo
kwahiyo unatengeneza mazingira hata kama hataki?
 
Mwenzio maisha yote ya chuo sikuwahi tongoza demu,siku hz wanajitongozesha hata hawajali kuwa nina mke.

Achana nao kwa sasa utakutana nao kwenye rebound if you know what i mean!
nimekuelewa mkuu
 
Mkuu ukifuatilia post nyingi zinazoletwa na madogo wa chuo ni vichekesho kuna mmoja alishawahi kuleta Uzi akilalamika eti aliambiwa asome sana akifika chuo mademu wamejaa wala hatohangaika kuwapata sasa dogo kafika chuo kakuta tofauti na alivyosikia kila akipiga sound anakosa akaanza kulialia
mademu wa chuo wakati mwingine wanazingua
 
Back
Top Bottom