Kila ninayemtongoza ana mtu

Kila ninayemtongoza ana mtu

Wakuu, mimi nashindwa kuelewa inakuaje kila msichana nayemtongoza ananambia ana mtu.

Niko chuo mwaka wa kwanza hadi sasa nimetokea wasichana kama watatu ila kila mmoja ananambia ana mtu na kunitolea nje.Pia kabla ya kufika chuo ilikuwa hivyo hivyo.

Naombeni mawazo yenu wana MMU na mimi niko vzuri tu kimuonekano na nahitaji kuwa na msichana kwa sasa.
Wanakuzuga tu,lakini wakikomaa kaa kivyako fata masomo,ukizidiwa ingia town kati,daka wa dakika tatu ili usije pata ugonjwa wa mfadhaiko, then sepa kajisomee.
 
Wakuu, mimi nashindwa kuelewa inakuaje kila msichana nayemtongoza ananambia ana mtu.

Niko chuo mwaka wa kwanza hadi sasa nimetokea wasichana kama watatu ila kila mmoja ananambia ana mtu na kunitolea nje.Pia kabla ya kufika chuo ilikuwa hivyo hivyo.

Naombeni mawazo yenu wana MMU na mimi niko vzuri tu kimuonekano na nahitaji kuwa na msichana kwa sasa.
Ukiona hivyo na wewe unaye ila unataka kuongeza idadi... si unajuwa wanawake ni wengi kuliko wanaume..!!
 
Dem wa chuo hatongozwi, we mwambie aje akutemberee akikubali tu unamaliza,,, utamaliza mpaka mwaka wa 3 patupu ukitegemea kutongoza
 
Fanya kitu kimoja, mpange mchizi wako mmoja mwenye gari aje darasani kipindi kikiwa kinaendelea, amuombe lecturer kuwa anatangazo kuwa kuna mtu mwenye gari namba T ngapi ngapi Toyota Verrosa amemblock na yeye anataka kutoka, kwahiyo kama yupo humu ndani basi aje asogeze gari yake.

Mzee hakikisha siku hiyo unakaa mbele ili wakati unatoka kila mtu akuone huku ukichomoa funguo kiunoni.

Ukifika nje mchizi wako anawasha gari yake halafu anaizima, then anaiwasha tena anaondoka.

Ukirudi, wiki hiyo ukiomba namba hutonyimwa, na hayo majibu ya ninamtu hutopata. Kabla deal halijabumbuluka, nikutakie kila la kheri.

Usione kila mwenye mke mzuri ukahisi alikuwa na pesa enzi hizo, hamnaaa, wengine ujanja ujanja tuuu.
 
Wakuu, mimi nashindwa kuelewa inakuaje kila msichana nayemtongoza ananambia ana mtu.

Niko chuo mwaka wa kwanza hadi sasa nimetokea wasichana kama watatu ila kila mmoja ananambia ana mtu na kunitolea nje.Pia kabla ya kufika chuo ilikuwa hivyo hivyo.

Naombeni mawazo yenu wana MMU na mimi niko vzuri tu kimuonekano na nahitaji kuwa na msichana kwa sasa.
DOGO KUNA NJIA MBILI RAHISI SANA ZA KUWAPATA HAO WAREMBO..
1. vunja bank uchukue ma-pesa watakua single...
2. piga mazoezi mazito kifua kitanuke uwe jitu la miraba minne, baada ya hapo kila mahali unapotembea ukiwaona hao wanawake vua chati ubaki kifua wazi, au vaa ka-wash watakupenda wenyewe..
 
Back
Top Bottom