monta
JF-Expert Member
- May 6, 2014
- 1,297
- 1,861
inahusiana vipiAngalia usije kuwa na nyota ya 'fumanizi', labda ndio inaanza kung'aa.
inahusiana vipiAngalia usije kuwa na nyota ya 'fumanizi', labda ndio inaanza kung'aa.
kuhusu kuvaa hapo nimeshindikana hadi wenzangu wananidiscuss mana navaa codeUjanja kama huu hauwez kukufikish popote kama huna hela mapenzi hayawez kudumu me nadhani jamaa hana swaga za uvaaji fashion mpya kila siku we uwe wa kwanza kuvaa
pesa sio kila kituPesa
watanikatalia tuwaambie na wewe una mtu unataka tu kuongeza wa ziada.
wafundishe onlineTANGAZO TANGAZO. chuo cha mapenzi jijini tanga kinayo furaha kukujilisha kuwa kinatoa kozi mbalimbali zikiwemo za kutongoza wahi sasa nafasi ni chache
ndo niniSi mnamuiga Fa, endeleeni.
kivpiHalafu we "MGOSI"
tatizo ganiTatizo lipo
Kila anayempata ana mtu.inahusiana vipi
fashioooooni nko vzuriMambo ya fashoooooni yanahitaji hela mkuu, vinginevyo ukaazime.
Ujanja ujanja ndio mpango mkuu
Nimepende ushauri wako mkuu.Vaa vizuri ,paka mafuta, jipulizie unukie ,ongea kama mwanaume unaejitambua acha kuwatizama sana wadada, utapata mrembo mzuri utafurahi na roho yako.sawa mwanachuo?
Very few.... nao wamegawanyika, wapo wanaotaka mapenzi tu na wapo wanaotaka vyote. Bora uwe nacho tu ndio unakuwa na uwanja mpana. Kapuku hana thamani...kuna wasichana wengine pesa wanazo
utakua kiazi weweee . .... itabidi ujiunge CHAPUTAsasa nikitokea darasa zima afu wakikataa wote!!
kinatoka wapiHuna kisimati ww
chaputa nimetokautakua kiazi weweee . .... itabidi ujiunge CHAPUTA
kwahiyo mapenzi pesa?Very few.... nao wamegawanyika, wapo wanaotaka mapenzi tu na wapo wanaotaka vyote. Bora uwe nacho tu ndio unakuwa na uwanja mpana. Kapuku hana thamani...