Kila ninayemtongoza ana mtu

Kila ninayemtongoza ana mtu

Wakuu, mimi nashindwa kuelewa inakuaje kila msichana nayemtongoza ananambia ana mtu.

Niko chuo mwaka wa kwanza hadi sasa nimetokea wasichana kama watatu ila kila mmoja ananambia ana mtu na kunitolea nje.Pia kabla ya kufika chuo ilikuwa hivyo hivyo.

Naombeni mawazo yenu wana MMU na mimi niko vzuri tu kimuonekano na nahitaji kuwa na msichana kwa sasa.
tatzo lako ukiambiwa hvyo unakata tamaa unachotakiwA kufanya ni kumuomba namba na mkawA mnachati tu kawaida na ujifanye una care sana juu yake na mwisho wa siku atahamia kwako mazima kwani hzi nyakati tulizopo ni ngumu kukuta mdada yupo single completely sanasana utamkuta yupo katka uhusiano unaolegalega hvyo jamaa akilemba tu anahamia kwa mwingine.
 
86c5827f86a6fca5fc89a8e46932208f.jpg
mbunye ndio kila kitu.
kuna wengine hawahitaji hata hela
 
nipe njia nyingine hyo risk mkuu
Hahahaaaa njia nyingine jitahidi uwe unapasua zile kozi ngumu ngumu, halafu unamtafuta mrembo mmoja unamualika discussion nae, hawezi kataa, katika kupanga discussion ifanyike wapi, chagua room kwake, hakikisha kweli upo vizuri kwenye kozi hiyo, kila swali linatembea, tumia chance hiyo ya kuwa kwenu wawili tu room kulianzisha polepole, mpaka akiwa vizuri kwenye hiyo kozi hakikisha na wewe umefanikiwa. Kila la kheri.
 
Kabla ya Upinzani, Majimbo yote yalikuwa CCM.
Lakini upinzani walivyoanza kuja na mikakati na sera za kueleweka basi Leo DSM Majimbo karibia yote yapo Upinzani.
Jipange na Sera,
Hakuna single girl, but sera zako ndiyo zinakupa Jimbo!
Mbona Me wote ninaonana nao Mpaka wale wenye Ndoa na Pete Vidoleni Wanasema wapo Single!
Mke wa Mtu ana pete 2 bado anasema nipo Single!
Girls ndiyo kwanza hawajawahi hata kudate!
😀angalia mbele wewe, tafuta pesa kijana achana na watoto utapotea😀
 
kuna wengine hawahitaji hata hela
Utaniambia mmojawapo ni Klyn..... Mengi bila mbunye Klyn angemsikia kwa wenzake. Mbunye unarahisisha unapata mpaka hao wanaodai wana wachumba. Pesa sabuni ya roho huu usemi sio bure.
 
Siku hizi ukishapata number onesha upo vizuri, weka appointment sehemu ya kuelewekaa, ukipigwa kizinga usifikirie Mara 2, ukiropoka tu nakupenda ujue ushamkosa huyooo
 
Mwenzio maisha yote ya chuo sikuwahi tongoza demu,siku hz wanajitongozesha hata hawajali kuwa nina mke.

Achana nao kwa sasa utakutana nao kwenye rebound if you know what i mean!
 
kwanini mkuu

Mkuu ukifuatilia post nyingi zinazoletwa na madogo wa chuo ni vichekesho kuna mmoja alishawahi kuleta Uzi akilalamika eti aliambiwa asome sana akifika chuo mademu wamejaa wala hatohangaika kuwapata sasa dogo kafika chuo kakuta tofauti na alivyosikia kila akipiga sound anakosa akaanza kulialia
 
Back
Top Bottom