niko nao karib sanajenga urafiki kwanza baada ya hapo unamtongoza
dhambi hiyojaribu na kakapoa
kwahiyo ukiwa na swag huwezi pata!Kupata msichana chuo ukiwa mwanafunzi kuna mawili:
1. Uwe na hela, na
2. Uwe kipanga siyo kilaza...ezeka vibanda vya kutosha na GPA za kiume kila semester utapata yule unayemtaka, hata mtoto wa Vice Chancellor utakula!
kwanini mkuuMadogo wa chuo mnanipa burudan sana
bila pesa haiwezekani!Money talk!
ushauri mzuri ila ni riskFanya kitu kimoja, mpange mchizi wako mmoja mwenye gari aje darasani kipindi kikiwa kinaendelea, amuombe lecturer kuwa anatangazo kuwa kuna mtu mwenye gari namba T ngapi ngapi Toyota Verrosa amemblock na yeye anataka kutoka, kwahiyo kama yupo humu ndani basi aje asogeze gari yake.
Mzee hakikisha siku hiyo unakaa mbele ili wakati unatoka kila mtu akuone huku ukichomoa funguo kiunoni.
Ukifika nje mchizi wako anawasha gari yake halafu anaizima, then anaiwasha tena anaondoka.
Ukirudi, wiki hiyo ukiomba namba hutonyimwa, na hayo majibu ya ninamtu hutopata. Kabla deal halijabumbuluka, nikutakie kila la kheri.
Usione kila mwenye mke mzuri ukahisi alikuwa na pesa enzi hizo, hamnaaa, wengine ujanja ujanja tuuu.
Nina boom,nina geto,na huwa sianzi na gia kama una mtuUnaboom??
Kjm.usiwe na tabia ya kuuliza una mtu??
Mabint waleo hawatongozwi nilugha za ishara unajua huyu tayar
Upo chuo gan??
Usijetoka tatu bila,kuna watu wanamaliza hawajawai pasua dem
npo chuo cha taifa Mlimani mkuuUnaboom??
Kjm.usiwe na tabia ya kuuliza una mtu??
Mabint waleo hawatongozwi nilugha za ishara unajua huyu tayar
Upo chuo gan??
Usijetoka tatu bila,kuna watu wanamaliza hawajawai pasua dem
aibu hizo sasaUtakuwa CR wao maana wote watakuwa wanakufahamu
ni nzuri ila unaeza umbukaAisee akishindwa na hiyo basi akawe Bruda tuuila hii mbinu nahisi wengi wataitumia humu ambao anasoma nao hapo chuo watamuwahi
anipe pindi kidogoAha,,,
Waweza kumkatia semina japo kidogo ya utongozaji..
nipe njia nyingine hyo risk mkuuHahahaaaa vijana tusipowasaidia hawachelewi kutuletea vihio nyumbani
hayo yote nayafanya mkuuKuvaa vizur na kujipulizia tena...mmmh
Dogo awe kujichanganya,mcheshi nk
Uwongo mwingi maana madem hawaelewi ukweli kabisaa
Akipiga show nzur owa mmoja akisimulia rafiki yake wanapenda kuzungukana sana...
Hayo mambo ya kuvaa vizur,kujipulizia kisa kupata dem.n ufala
Dogo kaza mwaka wa kwanza ndio tym ya kupata experience
kwahyo nitongoze wengi!Katika 100 mmoja anaweza akakwambia yuko single lakini hawa 100 wote ukiwatongoza wanakubali na kauli zinabadilika
[HASHTAG]#scorpio[/HASHTAG] me ametishaNilikuwa natafuta comment yako
kitabu napiga na nahitaji mtu wa karibuhebu piga kitabu kwanza ila mbona ukiwa kichwa utawatafuna sanaa hata kuwaandalia research uwale umeshindwa ? ngoja ujarib second year
good advice ila lazima niwe na mtu wa kunijenga kiushauri na mengineyoJali masomo ili utoke na GPA 4.7 utakuwa na list kubwa ya kuchagua else ukiendeleza hayo utatoka na GPA ya 2.2 au disco na utapata shida maishani kwa kutokutumia hela ya mzazi au boom lako vizuri!! so concentrate in your studies else you will come to regret!!