we unataka kukamua elimu, au unataka kukamua mbunye. Stick to your target
Hao uliowapata si wanawake wa kuoa, na bora wamekukataa maana wangeifanya ndoa yako iwe ngumu. Usichoke, endelea kutafuta tu, utampata ambaye atakukubali kwa hali uliyonayo. Wenye mapenzi thabiti hawaangalii sana vitu kama hivyo. Uelewa wa mtu, tabia njema, juhudi na kujitambua ni vitu muhimu sana kwenye ndoa kuliko kigezo cha elimu kubwa. Wenye elimu wangapi tunawaona wakifanya mambo ya kipuuzi? Na wengine hata maendeleo hawana? Elimu ya form four haiko kama wanavyoitafsiri wao!
Hao uliowapata si wanawake wa kuoa, na bora wamekukataa maana wangeifanya ndoa yako iwe ngumu. Usichoke, endelea kutafuta tu, utampata ambaye atakukubali kwa hali uliyonayo. Wenye mapenzi thabiti hawaangalii sana vitu kama hivyo. Uelewa wa mtu, tabia njema, juhudi na kujitambua ni vitu muhimu sana kwenye ndoa kuliko kigezo cha elimu kubwa. Wenye elimu wangapi tunawaona wakifanya mambo ya kipuuzi? Na wengine hata maendeleo hawana? Elimu ya form four haiko kama wanavyoitafsiri wao!
aliowapata nadhan I think they have the same characteristics as both of them consider education as the major qualification for one to qualify to be his/her wife/husband, Yeye anaangalia elimu nao wanaangalia elimu pia
Ndugu wana MMU poleni kwa majukumu. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa kutosha kuwa na familia. Shida inakuja pale ambapo kila mchumba ninaemuona ananifaa kuoa na anaendana na sera zangu ananizidi kwa elimu. Nikimpata mwenye sera kama za kwangu aniuliza nina elimu ya kiwango gani?nikimwambia elimu yangu ananiambia kaka elimu yako haiendani na yangu. Na kwa bahati mbaya wanawake wote ambao nimekutana nao wamenizidi kwa elimu. Kama mnavyojua wanawake wenye elimu huwa wanapenda wanaume waliowazidi kwa elimu angalau kidogo. Mimi nina elimu ya form4 ila nimebahatika kuwa na kazi ambayo kipato chake kinanitosha kuendesha maisha yangu na pia mimi ni mjasiriamali. Nasema inanitosha kwani imenijengea nyumba ambayo ndo naishi kwa sasa na inaniwezesha kula vizur kila cku. Naombeni ushauri, nifanyaje nimpate wangu anaendana na elimu yangu?ukizingatia umri ndo huo miaka30.
We tafuta mwalimu tu.
we unataka kukamua elimu, au unataka kukamua mbunye. Stick to your target
Rudi shule, ukaongeze elimu, inaelekea unapenda mademu elite sana!!!!