- Thread starter
- #21
Ndo hivyo sasa hawanitaki.Kuna tatizo gani kuwa na mtu aliyekuzidi elmu?
Ndo hivyo sasa hawanitaki.Kuna tatizo gani kuwa na mtu aliyekuzidi elmu?
We tafuta mwalimu tu.
Inaonekana wewe una matatizo.Mbona kuna wasichana wengi wanatafuta wanaume wa kuwaoa?Inaonekana unataka mwanamke wa show,kama ni hivyo lazima uwe na elimu,ma nake hata yule wa la saba anapenda kupata msomi.Tafuta mwanamke wa kuishi nae na kuanza famulia,hawa hawahitaji kujua zaidi elimu yako.Kama huridhiki basi rudi darasani kama muda unaona unakuruhusu.
Nakuhakikishia tatizo hapo sio elimu... lazima kuna kitu na ukweli unaujua mwenyewe.. inawezekana kabisa umekosa kujiamini... nakushauri jichunguze...
mmmmh kazi kweli kweli ila kiukweli kwa dunia ya sasa upo chini sana hebu rudi shule, mana siku hizi videgree vimekua vingi sana na kwa mfano hata mi mwenyewe kwa sasa form 4 siwezi kabisaaaaaaa!!!!
Pole bro, ushaur wangu ni kwamba unapotafuta mke bora kigezo cha kwanza na cha muhimu, ni tabia na dini, vitu kama elimu, kabila, na physical appearance are minors factors, unaweza kumpata mwenye elimu ya 4m4 na bado ndoa ikawa matatzo tupu, cha muhimu dont care about education level, angalia tabia na dini, cha KUJIULIZA NI HIKI UNAMUOA KWA SABABU YA ELIMU YAKE, AU TABIA?
mmmmh kazi kweli kweli ila kiukweli kwa dunia ya sasa upo chini sana hebu rudi shule, mana siku hizi videgree vimekua vingi sana na kwa mfano hata mi mwenyewe kwa sasa form 4 siwezi kabisaaaaaaa!!!!
Hapo umenena ila shule ndo hivo nimeshaiaga, wapo wenye degree zao lakin hawanifikii hata kidogo kwa kipato ninachopata.
kwani wee mtoa mada kufikisha miaka 30 ndio nini? Ndio lazima uoe hata kisiki?
Tafuta mwanamke anayekufaa haya mengine ni maelezo ya ziada tu.
Kama elimu mali ungewaambia wakaolewe na Nkurumal Hall au mdigirii