Bosco Ntaganda
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 710
- 288
Atafutae hachoki kijana, wewe endelea tu
tehee....tehee....teheee! imenikumbusha mbali sana kipindi cha nyuma nilikuwa dancing fulooo na bi mdada fulani hivi katika mahojiano (ya kitoto wakati huo) nikajitanua nafanya kazi sehemu fulani na nikweli nilikuwa nafanya kazi lakini alivyoniambia yuko chuo mwaka wa pili confo likashuka nikajivutavuta na kumwambia akazane shule ni ya maana sana huku japo kwa kweli niliomba mziki uishe haraka na mwaka uliofuata nilienda shule
hivyo dogo nenda shule acha uzembe vyuo kibao kwa sasa kama unajisikia vibaya
Kuna tatizo gani kuwa na mtu aliyekuzidi elmu?
Ndugu wana MMU poleni kwa majukumu. Mimi ni mwanaume mwenye umri wa kutosha kuwa na familia. Shida inakuja pale ambapo kila mchumba ninaemuona ananifaa kuoa na anaendana na sera zangu ananizidi kwa elimu. Nikimpata mwenye sera kama za kwangu aniuliza nina elimu ya kiwango gani?nikimwambia elimu yangu ananiambia kaka elimu yako haiendani na yangu. Na kwa bahati mbaya wanawake wote ambao nimekutana nao wamenizidi kwa elimu. Kama mnavyojua wanawake wenye elimu huwa wanapenda wanaume waliowazidi kwa elimu angalau kidogo. Mimi nina elimu ya form4 ila nimebahatika kuwa na kazi ambayo kipato chake kinanitosha kuendesha maisha yangu na pia mimi ni mjasiriamali. Nasema inanitosha kwani imenijengea nyumba ambayo ndo naishi kwa sasa na inaniwezesha kula vizur kila cku. Naombeni ushauri, nifanyaje nimpate wangu anaendana na elimu yangu?ukizingatia umri ndo huo miaka30.
ahaa! Kumbe tatizo ni wewe na wala si elimu ya mtu.inaonekana hutaki kuwa na mtu ambaye ana elimu ndogo.Tatizo lipo hata mi nikiolewa na 4m 4 wakat mi ni graduate co cri nitajikuta nam-undermine mume wangu