- Thread starter
- #41
Possible walichokuzidi wewe ni elimu ya kwenye karatasi tu lakini si elimu ya maisha,Usikate tamaa naamini hao waliokuzidi elimu ndo wanaokufaa wewe kwa kuwa ndiyo wamekuwa na vigezo utakavyo naamini Mwenyezi Mungu ana mpango na wewe,yupo wa aina yako she is waiting for you to meet her,so vuta subra utampata na hata tizama elimu yako bali namna mtakavojenga maisha yenu ya sasa na baadae.Be Blessed Bro!
Asante Mgaya D.w kwa ushauri wako mzuri ntaufanyia kazi.