Man Ngosha
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 219
- 69
Habari wadau!!!
Ama kweli wakati unahitaji kitu hakipatikani na wakati huitaji ndo kinapatikana kwa wingi!!!Mi nimekuwa single kwa muda wa zaidi ya miezi sita sasa,nimeamua niingie tena kwenye mahusiano mapya baada ya kutengana na girlfriend wangu wa awali,kuna binti nilitokea kumpenda sana na nikawa nae urafiki kwa muda then baada ya muda nikarusha topic yangu,akanambia tayari kuna mtu yuko nae tena akanitambulisha kwake!!kama hiyo haitoshi,kila ninaempenda na kumweleza nia yangu hali imekuwa ile ile!!naumia sana na upweke,ni wapi ninapokosea wadau,au nini tatizo?
Ama kweli wakati unahitaji kitu hakipatikani na wakati huitaji ndo kinapatikana kwa wingi!!!Mi nimekuwa single kwa muda wa zaidi ya miezi sita sasa,nimeamua niingie tena kwenye mahusiano mapya baada ya kutengana na girlfriend wangu wa awali,kuna binti nilitokea kumpenda sana na nikawa nae urafiki kwa muda then baada ya muda nikarusha topic yangu,akanambia tayari kuna mtu yuko nae tena akanitambulisha kwake!!kama hiyo haitoshi,kila ninaempenda na kumweleza nia yangu hali imekuwa ile ile!!naumia sana na upweke,ni wapi ninapokosea wadau,au nini tatizo?