Kila nikisoma baada ya masaa 24 nasahau

Kila nikisoma baada ya masaa 24 nasahau

Kanungila Karim

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2016
Posts
20,746
Reaction score
25,640
Habari zenu,
Jaman tatizo langu ni kwamba kila nikijisomea madaftari baada ya masaa 24 nasahau nilichokisoma lakin ikifika siku ya mtihani kumbukumbu zinarudi.
4605c4cc8f6cbaab489e3f0b39b57343.jpg


Je hili tatizo linasababishwa na nini?
Je nifanyaje ili niwe nakumbuka kila mara nilichojisomea.

Asanten
 
Back
Top Bottom