Kila nikirejea kuangalia Mechi za AS Vita Club dhidi ya Al Ahly kule Misri na Kwao Congo DR napatwa na uwoga kwa Mkapa Jumamosi

Kwa Mpira ule mkubwa wanaoucheza AS Vita Club ambao hata Waarabu wenyewe na Mabingwa Afrika Al Ahly wamekiri kupata nao Taabu nimeamini kuwa nje ya Kucheza Mpira mwingi lakini hata Bahati nayo ina nafasi Kubwa mno katika Mafanikio (Ushindi) wa Mchezo wa Soka (Kabumbu) duniani.

Hofu yangu Kubwa tu ni kwamba kwa sasa Watanzania bado tupo katika Kipindi cha Maombolezo (Majonzi) ya Kufiwa na Hayati Mpendwa Rais wetu Dkt. Magufuli hivyo huenda Wapenzi wa Soka Tanzania na hasa wa Klabu ya Simba tusipojiandaa Kikamilifu kuwakabili AS Vita Club basi baada ya tarehe 3 April, 2021 tukawa na 'Double Majonzi' ya Kufiwa na Kiongozi na pia Kutotinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika.

Naiamini Klabu yangu ya Simba SC tena kwa 100% Ila kwa Mpira mwingi walionao AS Vita Club tukiwafunga au hata tu kutoka nao Sare ya Suluhu (bila bila) au Pacha (ya Magoli) hatimaye tukafuzu rasmi Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika nitaomba Serikali ya Tanzania itoe Tamko la kuwa na Public Holiday nchini.

Moyo wangu una Wasiwasi mwingi sana.
Kwio
 
Hii ndio mechi pekee ambayo simba watagundua kumbe ndani ya pilau kuna kinyesi kiliwekwa chini.....
sherehe yote itaharibika.....
na kwa mwarabu ndio hawatoki kabisaa

Utopolo bhana, akili zenu zenyewe hovyo kabisa! Mmekuwa mkiitakia simba mabaya lakini ndio hivyo inazidi kuchanja mbuga!
Jana wakati As Vita wanasawazisha mashabiki wa utopolo walianza ooh sijui simba itapigwa tano lakini baada ya mechi wote walikuwa wananuna tu, utadhani litimu lao ndio lililofungwa!
Kwa taarifa yenu wanautopolo endeleeni kuitakia simba mabaya lakini mtaona itakachofanya kwenye haya mashindano!
Kule kwa Waarabu Misri game ya mwisho hamtaamini waarabu watakavyofanywa kwao, na wala msije mkasingizia Corona!
Utopolo mwaka huu mtanuna sana, subirini mwezi wa sita ufike muone historia mpya ya Africa itakayokuwa imewekwa na Simba!
 
Mie nimeongelea tu tofauti kati ya wenye uelewa wa mpira na wanaofuatilia matokeo tu...
Ulisema statements zetu simba waliziprove wrong kwa kushinda.

Sasa kwa sababu umeniweka kwenye kundi la wanaojua mpira onyesha popote niliposema Simba hawezi kushinda against hizo teams
 
Ila mkuu naona kama "ambao hatuna uelewa wa mpira" na "tunaofuatilia matokeo tu" kama vile kila wakati huwa tunakuwa sahihi kuhusu Simba kushinda licha ya vigezo vyote kuwa vinatuelemea.
Ilianza sijui Pyramids wana fowards yenye magoli 120 ndani ya nusu msimu.... Tukaamini tutashinda wenye uelewa wa mpira na takwimu mkawa chali...
Wakaja Platnums walivyotufunga kule kwao mkatuambia yale ya UD Songo yanatukabili.... Mnajua wenyewe sisi tusio na uelewa wa Mpira tulienda uwanjani kwa nguvu zote.
Makundi yalivyopangwa basi mnaojua mpira mkatuambia kuwa rekodi zinaonesha kuwa Simba atakuwa wa mwisho kwenye kundi na atapigwa bao nyingi...
Tusiojua mpira tuliamini Simba atashinda na Tukampiga Vita kwake.... Tulipompiga Al Ahly mnaojua mpira mkasema tumechokoza nyuki tutaumia...
Al Merrikh tulipotoa sare wenye uelewa wa Mpira mkasema wachezaji wao 5 walikuwa na COVID-19 ndio maana na mechi ya marudiano Simba atapigwa nyumbani... Hata hivyo Al Merrikh alikula 3 na mkasema Simba alifanya fitna wachezaji wao 8 wakazuiwa kwa kukutwa na COVID-19.
Sasa kazi ikaja kwenye mechi ya As Vita wenye uelewa wa mpira kama wewe hapo, All-rounder na CARFONIA mkaja na takwimu za As Vita alivyompelekesha Al Ahly huko kwa Farao mkidai kuwa Simba atakufa kipindi cha kwanza tu mapema tena sio chini ya goli 3. Tusio na uelewa wa mpira tukawa na imani Vita anakufa kwa Mkapa tena kwa goli nyingi.... Mnaojua mpira nadhani sasa mnajua kama sio "HILA" za Mugalu basi Ibenge ingebidi aombe uraia wa Tanzania maana angeenda kunyongwa kwa aibu ambayo ingetokea.
Kwa kifupi tu ni kuwa nyie wenye "UELEWA" wa Mpira kila mara linapokuja suala la Simba mmekuwa mkipoteza tu kila wakati.... Au mtuambie labda uelewa wenu wa mpira ni wa FIFA PES games.
Wamekuwa Kama kigogo 2014 vile anavyotoa maboko siku hizi huko twita republic
 
Vita ndiyo kwanza wanasuka kikosi Chao upya baada ya kile cha kina Ngoma, Jean Makusu Mundele, Tuisila Kisinda, Khazadi Kasengu, Lukong na wengineo hivyo hawana kikosi che uelewano mzuri uwanjani.

Probably next season watakuwa hatari zaidi.

Kumbukumbu zinaonyesha vita kwa muda mrefu sana hawajawahi kuvuka hatua ya makundi kwenye champions League zaidi ya kuishia nafasi ya tatu tu.
Daah ina maana walivyovuka tu mpaka fainali na esperance
 
Ulisema statements zetu simba waliziprove wrong kwa kushinda.

Sasa kwa sababu umeniweka kwenye kundi la wanaojua mpira onyesha popote niliposema Simba hawezi kushinda against hizo teams
Mimi niko kundi la wasiojua mpira... Yaani kundi la kuangalia matokeo tu.... Sasa wewe unayejua hamna mahali ulisema pia kuwa Simba atashinda hivyo ni dhahiri haukuamini atashinda
 
Watoto wa Kike ndiyo huwa na Msemo huu sana na nikiona ( nikisikia ) Mwanaume anasema napatwa na Mashaka na kwamba huenda akawa ni Muokota Kuni kama si Msukuma Ukuta wa Berlin.
Kwa hio marehem meko aliimba Na kucheza huu wimbo kabisa.

Au umeamua tu kuropoka?
 
Si nilisema? Mtoa uzi keshatoroks tayari na kutelekeza uzi wake!! Kina All-Rounder, Senzo, na utopolo et Al huwezi kuwaona tena jukwaani!! Kina Generalist hata ukiwaitia pesa hawawezi kusogea hapa, si kwa aibu hiyo!!

Humu ( hapa ) kuna Watu Wapumbavu ( Majuha ) mno na ndiyo maana huwa ninawadharau sana tu.

Nimeanzisha Uzi kuonyesha Tahadhari yangu tu ya Kimchezo hasa kutokana na Uchezaji wa AS Vita Club.

Hskuna mahala Generalist nimesema Simba SC itafungwa jana na AS Vita Club kama ipo naomba mnionyeshe hivi sasa.

Na msichokijua huenda hata Mtazamo wangu wa Kimashaka umeweza Kuwasaidia Benchi la Ufundi Kujipanga zaidi Kimbinu.

Nashukuru wapo Wachache Werevu walinielewa na wananielewa isipokuwa kwa Waswahili Wapuuzi wengi mliopo.
 
Humu ( hapa ) kuna Watu Wapumbavu ( Majuha ) mno na ndiyo maana huwa ninawadharau sana tu.

Nimeanzisha Uzi kuonyesha Tahadhari yangu tu ya Kimchezo hasa kutokana na Uchezaji wa AS Vita Club.

Hskuna mahala Generalist nimesema Simba SC itafungwa jana na AS Vita Club kama ipo naomba mnionyeshe hivi sasa.

Na msichokijua huenda hata Mtazamo wangu wa Kimashaka umeweza Kuwasaidia Benchi la Ufundi Kujipanga zaidi Kimbinu.

Nashukuru wapo Wachache Werevu walinielewa na wananielewa isipokuwa kwa Waswahili Wapuuzi wengi mliopo.
Sisi ni nani hadi tumbishie mfalme JUHA?
 
msiache kupata na uoga mjinyee na kujikojolea kabisa ili tufike nusu fainali


Humu ( hapa ) kuna Watu Wapumbavu ( Majuha ) mno na ndiyo maana huwa ninawadharau sana tu.

Nimeanzisha Uzi kuonyesha Tahadhari yangu tu ya Kimchezo hasa kutokana na Uchezaji wa AS Vita Club.

Hskuna mahala Generalist nimesema Simba SC itafungwa jana na AS Vita Club kama ipo naomba mnionyeshe hivi sasa.

Na msichokijua huenda hata Mtazamo wangu wa Kimashaka umeweza Kuwasaidia Benchi la Ufundi Kujipanga zaidi Kimbinu.

Nashukuru wapo Wachache Werevu walinielewa na wananielewa isipokuwa kwa Waswahili Wapuuzi wengi mliopo.
 
Umesha andikanombi lako la public holiday ?


Humu ( hapa ) kuna Watu Wapumbavu ( Majuha ) mno na ndiyo maana huwa ninawadharau sana tu.

Nimeanzisha Uzi kuonyesha Tahadhari yangu tu ya Kimchezo hasa kutokana na Uchezaji wa AS Vita Club.

Hskuna mahala Generalist nimesema Simba SC itafungwa jana na AS Vita Club kama ipo naomba mnionyeshe hivi sasa.

Na msichokijua huenda hata Mtazamo wangu wa Kimashaka umeweza Kuwasaidia Benchi la Ufundi Kujipanga zaidi Kimbinu.

Nashukuru wapo Wachache Werevu walinielewa na wananielewa isipokuwa kwa Waswahili Wapuuzi wengi mliopo.
 
Mimi niko kundi la wasiojua mpira... Yaani kundi la kuangalia matokeo tu.... Sasa wewe unayejua hamna mahali ulisema pia kuwa Simba atashinda hivyo ni dhahiri haukuamini atashinda
Nikikuonyesha niliposema watashinda na kwenda quarterfinal uko tayari kufuta huu utumbo ulioandika humu ?
 
Kwa hio marehem meko aliimba Na kucheza huu wimbo kabisa.

Au umeamua tu kuropoka?


Humu ( hapa ) kuna Watu Wapumbavu ( Majuha ) mno na ndiyo maana huwa ninawadharau sana tu.

Nimeanzisha Uzi kuonyesha Tahadhari yangu tu ya Kimchezo hasa kutokana na Uchezaji wa AS Vita Club.

Hskuna mahala Generalist nimesema Simba SC itafungwa jana na AS Vita Club kama ipo naomba mnionyeshe hivi sasa.

Na msichokijua huenda hata Mtazamo wangu wa Kimashaka umeweza Kuwasaidia Benchi la Ufundi Kujipanga zaidi Kimbinu.

Nashukuru wapo Wachache Werevu walinielewa na wananielewa isipokuwa kwa Waswahili Wapuuzi wengi mliopo.
 
Daah ina maana walivyovuka tu mpaka fainali na esperance
Hawakucheza final na Esperance bali walicheza na Raja Casablanca kombe la shirikisho na Esperance alicheza final champions League dhidi ya Wydad Casablanca.
 
Back
Top Bottom