Al Watani
JF-Expert Member
- Dec 28, 2014
- 20,517
- 30,581
Basi tuishie hapa.Sipo tayari
Basi tuishie hapa.Sipo tayari
Wamekuwa Kama kigogo 2014 vile anavyotoa maboko siku hizi huko twita republic
Napata mashaka na kiwango chako cha kuelewa swali na jinsi unavyo attempt swali .Humu ( hapa ) kuna Watu Wapumbavu ( Majuha ) mno na ndiyo maana huwa ninawadharau sana tu.
Nimeanzisha Uzi kuonyesha Tahadhari yangu tu ya Kimchezo hasa kutokana na Uchezaji wa AS Vita Club.
Hskuna mahala Generalist nimesema Simba SC itafungwa jana na AS Vita Club kama ipo naomba mnionyeshe hivi sasa.
Na msichokijua huenda hata Mtazamo wangu wa Kimashaka umeweza Kuwasaidia Benchi la Ufundi Kujipanga zaidi Kimbinu.
Nashukuru wapo Wachache Werevu walinielewa na wananielewa isipokuwa kwa Waswahili Wapuuzi wengi mliopo.
Napata mashaka na kiwango chako cha kuelewa swali na jinsi unavyo attempt swali .
Mm nimeuliza umesha andika ombi la kuomba public holiday ? (Kwa mujibu wa bandiko ulisema endapo SSC watashinda utaomba public holiday)
Jibu lilipaswa liwe ndiyo au hapana sijaandika
😃😃😆😆😂 Chief una kwama wapi ?
Ok tuendelee na mjadala au tuishie hapaHawakucheza final na Esperance bali walicheza na Raja Casablanca kombe la shirikisho na Esperance alicheza final champions League dhidi ya Wydad Casablanca.
Nilikuwa nakusahihisha tu hapo.Ok tuendelee na mjadala au tuishie hapa
Endelea kuangalia marudio mkuu.Kwa Mpira ule mkubwa wanaoucheza AS Vita Club ambao hata Waarabu wenyewe na Mabingwa Afrika Al Ahly wamekiri kupata nao Taabu nimeamini kuwa nje ya Kucheza Mpira mwingi lakini hata Bahati nayo ina nafasi Kubwa mno katika Mafanikio (Ushindi) wa Mchezo wa Soka (Kabumbu) duniani.
Hofu yangu Kubwa tu ni kwamba kwa sasa Watanzania bado tupo katika Kipindi cha Maombolezo (Majonzi) ya Kufiwa na Hayati Mpendwa Rais wetu Dkt. Magufuli hivyo huenda Wapenzi wa Soka Tanzania na hasa wa Klabu ya Simba tusipojiandaa Kikamilifu kuwakabili AS Vita Club basi baada ya tarehe 3 April, 2021 tukawa na 'Double Majonzi' ya Kufiwa na Kiongozi na pia Kutotinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika.
Naiamini Klabu yangu ya Simba SC tena kwa 100% Ila kwa Mpira mwingi walionao AS Vita Club tukiwafunga au hata tu kutoka nao Sare ya Suluhu (bila bila) au Pacha (ya Magoli) hatimaye tukafuzu rasmi Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika nitaomba Serikali ya Tanzania itoe Tamko la kuwa na Public Holiday nchini.
Moyo wangu una Wasiwasi mwingi sana.
Mkia umekuingia sasaSioni Mikia wakiingia robo fainali maana mechi zote mbili atapoteza
Tunayapata huku huku JF kwa wanaoleta mrejesho,wengine mambo ya sijui VPN hatunagaIla panoja na hayo Maboko yake lakini bado tu 24/7 unamfuatilia. Watanzania ni Wanafiki kuliko Maelezo halafu hata Aibu hawana.
Sioni Mikia wakiingia robo fainali maana mechi zote mbili atapoteza
Mara ajifanye mtabiriHata ukikasirika na kutukana haikusaidii utopolo mkubwa!! Ukome kujifanya mshabiki wa Simba wakati kila siku unaiwangia kwa kutumia hizo ID zako kibao!! Uzuri hujafanikiwa!
mamboSioni Mikia wakiingia robo fainali maana mechi zote mbili atapoteza
Kila siku wanaamka na jipya lakini wanaabika
Huyu ndo Generalist/all-rounder pia!!Sioni Mikia wakiingia robo fainali maana mechi zote mbili atapoteza
Hadi aibu yaniHii mechi sioni simba kama atashinda ata kama ni kwa mkapa sijui kwa magufuli trust me simba anakufa bao tatu bila ubishi
Tukutane hapa baada ya tarehe 3
Unaumia ukiwa wapi?Sioni Mikia wakiingia robo fainali maana mechi zote mbili atapoteza
Siyo aache woga Bali aache roho mbaya na wivu, ni utopolo huyo!Acha woga