Kila nikirejea kuangalia Mechi za AS Vita Club dhidi ya Al Ahly kule Misri na Kwao Congo DR napatwa na uwoga kwa Mkapa Jumamosi

Humu ( hapa ) kuna Watu Wapumbavu ( Majuha ) mno na ndiyo maana huwa ninawadharau sana tu.

Nimeanzisha Uzi kuonyesha Tahadhari yangu tu ya Kimchezo hasa kutokana na Uchezaji wa AS Vita Club.

Hskuna mahala Generalist nimesema Simba SC itafungwa jana na AS Vita Club kama ipo naomba mnionyeshe hivi sasa.

Na msichokijua huenda hata Mtazamo wangu wa Kimashaka umeweza Kuwasaidia Benchi la Ufundi Kujipanga zaidi Kimbinu.

Nashukuru wapo Wachache Werevu walinielewa na wananielewa isipokuwa kwa Waswahili Wapuuzi wengi mliopo.
Napata mashaka na kiwango chako cha kuelewa swali na jinsi unavyo attempt swali .
Mm nimeuliza umesha andika ombi la kuomba public holiday ? (Kwa mujibu wa bandiko ulisema endapo SSC watashinda utaomba public holiday)
Jibu lilipaswa liwe ndiyo au hapana sijaandika
😃😃😆😆😂 Chief una kwama wapi ?
 
Napata mashaka na kiwango chako cha kuelewa swali na jinsi unavyo attempt swali .
Mm nimeuliza umesha andika ombi la kuomba public holiday ? (Kwa mujibu wa bandiko ulisema endapo SSC watashinda utaomba public holiday)
Jibu lilipaswa liwe ndiyo au hapana sijaandika
😃😃😆😆😂 Chief una kwama wapi ?

Imeisha hiyo!!!
 
Kwa Mpira ule mkubwa wanaoucheza AS Vita Club ambao hata Waarabu wenyewe na Mabingwa Afrika Al Ahly wamekiri kupata nao Taabu nimeamini kuwa nje ya Kucheza Mpira mwingi lakini hata Bahati nayo ina nafasi Kubwa mno katika Mafanikio (Ushindi) wa Mchezo wa Soka (Kabumbu) duniani.

Hofu yangu Kubwa tu ni kwamba kwa sasa Watanzania bado tupo katika Kipindi cha Maombolezo (Majonzi) ya Kufiwa na Hayati Mpendwa Rais wetu Dkt. Magufuli hivyo huenda Wapenzi wa Soka Tanzania na hasa wa Klabu ya Simba tusipojiandaa Kikamilifu kuwakabili AS Vita Club basi baada ya tarehe 3 April, 2021 tukawa na 'Double Majonzi' ya Kufiwa na Kiongozi na pia Kutotinga Robo Fainali ya Klabu Bingwa Afrika.

Naiamini Klabu yangu ya Simba SC tena kwa 100% Ila kwa Mpira mwingi walionao AS Vita Club tukiwafunga au hata tu kutoka nao Sare ya Suluhu (bila bila) au Pacha (ya Magoli) hatimaye tukafuzu rasmi Robo Fainali Klabu Bingwa Afrika nitaomba Serikali ya Tanzania itoe Tamko la kuwa na Public Holiday nchini.

Moyo wangu una Wasiwasi mwingi sana.
Endelea kuangalia marudio mkuu.
Pia usisahau kuangalia na Mamelod na endelea patwa na uwoga.
Uto wewe
 
Ila panoja na hayo Maboko yake lakini bado tu 24/7 unamfuatilia. Watanzania ni Wanafiki kuliko Maelezo halafu hata Aibu hawana.
Tunayapata huku huku JF kwa wanaoleta mrejesho,wengine mambo ya sijui VPN hatunaga
 
Hata ukikasirika na kutukana haikusaidii utopolo mkubwa!! Ukome kujifanya mshabiki wa Simba wakati kila siku unaiwangia kwa kutumia hizo ID zako kibao!! Uzuri hujafanikiwa!
Mara ajifanye mtabiri
hapo hapo ageuke mchambuzi yaani hoves hoves

Heri Mshana Jr yeye alishajipambanua wazi.
 
Back
Top Bottom