Valentina
JF-Expert Member
- Oct 12, 2013
- 24,633
- 28,634
Aliaga anaondoka Jf kwa madhila aliyopatawhat happened to that cute home girl wako?
Aliaga anaondoka Jf kwa madhila aliyopatawhat happened to that cute home girl wako?
Ahahahh
Sijajua ngoja nimuulize alisema ataondoka jumatano nami sipo hukoBaba Samira bado yupo Mwanza?
Ta taaaaaaa.@tatty
Nemo,sura kama yako hapo sichomoki kabisaaaaa,lakini sura kama nguzo ya umeme hapana.Duh? Hivi kwani sura inahitajika kwenye vigezo vya urafiki ama mapenzi?
Housegirl: Kama hujali jinsia basi mie naweza kuwa rafiki yako!
Mie sibadili jina ole wako unikimbieeBadili jina, usijiite housegirl
MambozTa taaaaaaa.
Mie sibadili jina ole wako unikimbiee
Mambo poa mrembo,nimekumiss kama pumzi.Mamboz
Mpya mpya ila watu ni walewale wa zamaniOooh pole sana usitafute ID za zamani tafuta mpya mpya
Teh teh teh!!
Sikukimbii, jina lako zuri
Kwakweli asiondoke, sio kwa mapointi yale.Muke ya Waziri mtarajiwa, unaenda wapi sasa? Puliiiiz
Mbeijing herself, hapana kwa kweliKwakweli asiondoke, sio kwa mapointi yale.