hahaaha kikishoka kimechoka tu hata unywe supu ya mambaNimeambiwa ukila nyama ya nyoka na thupu yake kifaa kinajirenew kila baada ya muda fulani, sasa wee Subiri ufike wakati halafu kibinti kinione mii kibabu
SIO BURE UTAKUWA NI JIPU TU WEWEKwamba kifanyio kina expiry date... Hiki kitu kinaumiza mno! Kwamba hakuna kufanya utundu tena wala kuruka ruka naumia sana tena sana! Kama kungekuwa na jinsi ya kuichakachua hii expire date nafikiri wengi sana wangechakachua
Cha kufanya unacho...kitunze na kitumie kwa kufuata taratibusina lakufanya
Iingie wapi wakati mnaloose ile hamu yote. We hujawahi kuona kibibi na kibabu vinagombana kisa kibibi hakitaki kutoa mzigo wakati babu anataka. Ukimuuliza bibi kwanini humpi babu atakwambia mi sijisikiiha ha haha mtani mimi sisemi bora zetu hazina mbwe mbwe itaingizwa tu ha hahaha
Dah! Hivi zinasoma mileage?Should be applicable both sides
Kuna rafiki yangu alikua anasisitiza expire date Ikifika bora afe kuliko kula kwa macho na kusema "those days when I was strong.... ." kila anapokutana na binti hataki.Ndio uhalisia wetu lakini
Hamu tunakosa lakin pale hapazibi unaweza kuingiza ukikomaaa.. Ila nyie mpaka ipande mnara ndiyo inaingiaIingie wapi wakati mnaloose ile hamu yote. We hujawahi kuona kibibi na kibabu vinagombana kisa kibibi hakitaki kutoa mzigo wakati babu anataka. Ukimuuliza bibi kwanini humpi babu atakwambia mi sijisikii
Ikibana ndiyo tamu ha ha haHahahhaa nasikia hata hizo zinarudi udogo tight mark naambiwa kuexpire kwake
Yes makunyanziTeh teh hivi na sisi vitumbua vyetu vina expire date jamani? Looh
Duh? halafu wewe..... ....!ha ha haha mtani mimi sisemi bora zetu hazina mbwe mbwe itaingizwa tu ha hahaha