Kila mwezi lazima mbunge mmoja afariki baada ya uchaguzi wa Oktoba 29,2025, hii ni ishara mbaya kiroho

ngara23

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2019
Posts
15,774
Reaction score
35,994
Sisi watu wa rohoni tunaona mengi mno, nadhani wataalam wenzangu wa ulimwengu wa roho mshagundua kuwa hii siyo ishara ya kawaida

Baada ya kuapishwa bunge baada ya uchaguzi kila mwezi laZima mbunge mmoja afariki kutokana na sababu mbalimbali

Mwezi December, Jenestha Mhagama RIP alipoteza maisha

Leo kabla ya arobaini yake mbunge Halima Idd Nasoro RIP nae amepoteza maisha

Kumbuka kumpaka mbunge ni gharama kubwa kuendesha uchaguzi na kumpata kiongozi huyu

Hili siyo jambo la kawaida kiroho, kama mbunge yupo bungeni Kwa uchaguzi wa oktoba 29,2025 ajitafakari na aangalie yupo kihalali au la

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…