Kila mwanamke anatamani mwanaume anaempa solutions

Kila mwanamke anatamani mwanaume anaempa solutions

Ushimen

JF-Expert Member
Joined
Oct 24, 2012
Posts
42,550
Reaction score
105,319
Wavulana wengi wanafikiri eti.....

Ukitaka kumtawala mwanamke "mpe hela"...🤣

Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela...😜

Mwanaume simama kwenye nafasi yako na hakuna nyumba itayumba bladi hell...☹️
 
Wavulana wengi wanafikiri eti.....

Ukitaka kumtawala mwanamke "mpe hela"...🤣

Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela...😜

Mwanaume simama kwenye nafasi yako na hakuna nyumba itayumba bladi hell...☹️
pia sio kila kitu atahitaji solutions. mengine mengi atahitaji kusikilizwa tu na kufarijiwa basi. ukimpatia tu solution utakuwa unatafuta manuno na ugomvi mwingine
 
Wavulana wengi wanafikiri eti.....

Ukitaka kumtawala mwanamke "mpe hela"...🤣

Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela...😜

Mwanaume simama kwenye nafasi yako na hakuna nyumba itayumba bladi hell...☹️

.....Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela.....

The best comment for this Beautiful Tuesday Ushimen
 
Wavulana wengi wanafikiri eti.....

Ukitaka kumtawala mwanamke "mpe hela"...🤣

Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela...😜

Mwanaume simama kwenye nafasi yako na hakuna nyumba itayumba bladi hell...☹️
Women are created to receive, wewe endelea kulala usingizi wa pono, you build her a house she will give you a baby, wanawake wameumbwa kupokea, ukimjengea nyumba anakupa watoto, nyie mnasema anakuzalia watoto tena wengi tu
 
Wavulana wengi wanafikiri eti.....

Ukitaka kumtawala mwanamke "mpe hela"...🤣

Hapo ndipo anguko la vijana linapo anzia "maana hata wanawake pia wanajua kuitafuta hela...😜

Mwanaume simama kwenye nafasi yako na hakuna nyumba itayumba bladi hell...☹️
Sasa nitafanyaje hapa maana mimi napenda kutawala mke wangu na kupiga wanawake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom