Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 36,155
- 30,837
Kwa unyenyekevu mkubwa niko tayari kuupokea kwa mikono miwili uamuzi wenu thabiti kwa ustawi na maslahi mapana ya chama cha mapinduzi. Hakuna cha kupoteza.
Asante sana wa jumbe wa mikutano mikuu ya CCM katika kata zote zaidi ya 17 katika Jimbo langu, kwa imani na mapenzi yenu makubwa mno kwangu na kunipatia fursa na nafasi ya kuniskiliza kwa heshima na hatimae kunipigia kura nyingi sana za upendo wa dhati na bila gharama yoyote, yaani priceless votes.
Thamani ya kura zenu itaonekana kwenye maendeleo. Tuwaombee kamati kuu ya CCM Taifa.
God bless you all.
Kazi na utu Tunsonge mbele pamoja.
Kidumu chama cha Mapinduzi.🐒
Mungu Ibariki Tanzania.
Asante sana wa jumbe wa mikutano mikuu ya CCM katika kata zote zaidi ya 17 katika Jimbo langu, kwa imani na mapenzi yenu makubwa mno kwangu na kunipatia fursa na nafasi ya kuniskiliza kwa heshima na hatimae kunipigia kura nyingi sana za upendo wa dhati na bila gharama yoyote, yaani priceless votes.
Thamani ya kura zenu itaonekana kwenye maendeleo. Tuwaombee kamati kuu ya CCM Taifa.
God bless you all.
Kazi na utu Tunsonge mbele pamoja.
Kidumu chama cha Mapinduzi.🐒
Mungu Ibariki Tanzania.