Leo tarehe 28/10/2021 wanafunzi wetu wa Darasa la nne wanafanya mitihani yao ya kuwapima uelewa wao kabla hawajavuka kwenda darasa la tano. Tunawatakia mtihani mwema. Tudhibiti udanganyifu, udanganyifu haufai, udanganyifu huuwa vipawa.
Wataalamu bora hawapatikani kwa udanganyifu.
Wataalamu bora hawapatikani kwa udanganyifu.