Kila la heri kwa USM Alger kuelekea mchezo wa fainali ya mkondo wa kwanza kombe la Shirikisho barani Africa dhidi ya Yanga

Mkono Mmoja

JF-Expert Member
Jan 26, 2019
1,932
4,086
shalom shalom

Tusipangiane ipi timu ya kuishabikia, suala la uzalendo halipo kwangu.

Natanguliza salamu za heri kwa timu ya USM Alger katika mbungi itakayopigwa hapo kesho.Kila la heri katika kulisaka taji la kombe la shirikisho hapo kesho.
 
Back
Top Bottom