Kila kitu unachopaswa kujua kuhusu Cryptocurrency na Bitcoin na kwanini siyo uwekezaji mzuri kwako kwa sasa

Dollar unaweza kuitoa cash ukiamua kupata cash itategemeana na mfumo unaotumia kama unasupport kupata cash as pesa ilivyokuwa katika mfumo wa kielectronic
Pia hata usipoweza kupata dollar as dollar unaweza ukfanya withdraw moja kwa moja kwa pesa nyingine bila makato
mfano watu wa forex wengi wanweza kutoa dollar kutoka online kuja tsh bila makato ya aina yoyote ile, kwahiyo bado nadharia yenu inabeki pale pale kuwa ni manufaa ya wenye akili wakitumia pesa zenu



Ukiwa na dollar unaweza kuitoa kwa pesa nyingine eneo lolote na sehemu yoyote itategemeana tu ipo katika account ya mfumo upi
watu wanatumiwa dollar daily na wanatumia kwa manunuzi hata hapa hapa kwetu
kwahiyo butcoin haiwezi kufanyakika kirahisi kwa malipo wala kuitoa ndio maana nasema bitcoin ni kama maandazi ni lazima uuze andazi upate hela ila hauwezi kubadili andazi kwa mkate



Kama haipo katika taasisi inayotambuliwa na bank ya dunia ama chini ya sheria ya serikali fulani
Ni ishara tosha kuwa hii ni project ya watu kupata pesa kutoka kwa wanyonge wachache tu ni sawa na sandakarawe unarudi pale pale tuu
Wakifunga bitcoin yao basi unakuwa umekula hasara ila tz wakisema hawapokei dollar hata kenya unaweza ukaenda kuitolea ukapata ksh na ukaja kutumia kwa tsh



Sasa kubeti ni bahati nasibu huwezi ukaanza kuwashauri watu wajiunge katika kubeti wakati hauna uhakika wa faida
hapo umehitimisha sasa kuweka bitcoin ni sawa na betting kama nilivyokueleza mwanzo na hapa umekuja kwa ajili ya kupata watu
nawe upate faida wakijiunga kwako
thisi is not fear
Jamaa uelewi wewe ,any currency in electronic form ukitaka iwe cash lazima ilose a certain value kwako mtoaji , iwe dollar ,shilling euro yen ...

Hata ma Mpesa na Tigo pesa yana makato kibao
Issue ya hasara au faida kwenye kiuza na kununua bitcoin ni
akili zako tu kama unavoendesha duka unaweza ukala hasara au faida depending on how smart you make ur investment ...

Kama wewe ulikula hasara don't discourage others ,may be you are not a smart investor

Issue ya faida au hasara kwenye biashara yoyote ni individual thing usitishe watu kwa maelezo yako ya uongo wakaona may be crypto zote n scam while sio hivyo
 
Mfano mzuri angalia hapa
hawa wanauza bitcoin kila mtu kaweka bei yake
kwanini bei ziwe tofauti tofauti?
Wakati ingekuwa ni tsh itaeleweka thamini duniani kote kwamba leo iko hivi
why not bitcoin?
usishauri watu kijunga mkuu utaonekana tapeli bure we fanya wewe kama wewe kwa nafasi yako
this is more than betting
View attachment 1120674
Mkuu hata bureau de change zinauza pesa na kununua pesa kwa rate tofauti tofauti sijui unashangaa nini hapa
 
Mkuu nifafanulie msg hii...
Kipindi hiki si vha kuinunua bitcoin kwa wafanya biashara wa bitcoin kipindi hiki wanaoo nunua ni wale wanaoitumia bitcoin kwenye manunuzi yao.

Swali:

mfano wa matumizi hayo ni upi
Ina maana wote wanaouza kipindi hiki hupata hasara.

Na kama unashauri kipindi hiki tusinunue, sasa unamaana biashara hii husimama na kusubiri kipindi cha mavuno?
Mkuu kuna bitcoin INA vary value yake kutokana na factor mbalimbali. Alichosema jamaa ni kutoa ushauri kwa MTU anaetaka kufanha investment ni vizuri usubiri bei ikiporomoka below average then ununue kwa kiasi kidogo cha fedha


Then unahold ur coins hadi peak period nyingine kuuza ili upate faida mfano alienunua bitcoin Feb -march alinunu kwa bei 3500-4000 USD

This month inarange 7500-800 USD
Huoni anapata faida ya 100%
 
Unajua nini mkuu hakuna system ambayo ina wahuni wa kutapeli watu katika mitandao kama mfumo wa bitcoin.

Sababu kubwa ni rahisi kwa mtu yoyote kujifanya anauza bitcoin akaanzisha website ya wallet na kujifanya muuzaji.

Na pia si kila anayesema anauza ni tapeli hivyo ukitaka kununua fata hatua hizi.

1.Fahamu kampuni au website inayo uza bitcoin kiundani,itafute katika google pia icheki katika mitandao ya majadiliano (forums) mbalimbali duniani sikiliza malalamiko ya watu kuhusu kampuni hiyo au website hiyo.

2.Anza kuwekeza kidogo usiweke mzigo mkubwa hadi pale utakapo jiridhisha na huduma zao.

3.Ulizia watu ambao tayari wapo katika biashara wakushauri ni kampuni gani au website gani ina usalama katika kuuza na kununua.

Zipo site nyingi salama duniani kuuza na kununua bitcoin lakini pia zipo za kitapeli kibao

Umakini unatakiwa sana hivyo siwezi mshari mtu mtandao ambao sijawahi tumia kama kuna mtu anaufahamu huu ulio itaja na kaujaribu atatusaidia kutuhakikishia usalama wake.

Fatilia kabla hujanunua watafute kwenye google
Vipi mkuu kukunua kwenye mtandao wa localbitcoin.com
ni salama kweli
 
I strongly blv in Crypto.
I also invest 30% of my monthly earnings in crypto.
Hoping that, this world will one day be cryptosphere.
 
Huu ushauri unaonekana kama mojawapo ya ushauri wa kijinga sana lakini kuna siku mtanikumbuka

Tena kama inawezekana waanze mapema sana mwaka huu ikiwezekana hata kwa kuuza ile Airbus inayoshinda imepaki

Hizi issue za cryptocurrency sio za kuzichukulia poa kabisa ona nchi kama North Korea wanavyozitumia kuepuka vikwazo vya mmarekani

Serikali kama ingetenga tsh bilioni 500 wakaziweka kwenye crypto trading ingeweza kufund nusu ya bajeti yake kuliko kuhangaika kwenda kuomba pesa kwa mabeberu


over
 
Na ni wa kijinga kweli kweli!
Badala ya kusema Serikali itenge pesa ije na innovation yake ya blockchain technology wewe unashauri inunue bitcoin?
Looks like umekua too inspired na umeijua juzi juzi!
Kwenye innovation hawataweza maana wameshindwa hata kuiwezesha tovuti ya NIDA iwe user friendly wataweza kweli kutengeneza block chain yao solution ya haraka ni serikali kununua hizi coin za bitcoin haraka iwezekanavyo na private key zitunzwe kwa mkuu chato
 
Back
Top Bottom