Mavurunza
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 230
- 163
Kila kitu kina muda wake mkuu.Dah leo nimekumbuka hii comment niliisoma 3 years ago na nikawa lofa nikaweka $5000 kununua bitcoin basi leo nimeisoma tena najikuta nacheka tu kuna mipumbav ilitaka tuamini ujinga wao pesa itupite kushoto hahahahahahahahahahaha