Wakuu naomba mnipe mawazo
Ni hivi, mimi nilikuwa nafanya utafiti kujua ni kitu gani hasa msichana hukifanya muda mfupi kabla ya kumegana? Story yenyewe ni hivi, unamuita msichana kunako maeneo ya faragha, mnapiga story wee hata saa nzima.
Sasa ukiwasilisha tu hoja ya kutaka mmegane halafu muondoke yeye anakwambia ngoja aende uwani kwanza. Nauliza: kwanini hivyo na huko uwani wanakwenda kufanya nini?
Mimi nimekutana na hali hii kwa mademu kama 10 hivi. Na kila alieniambia aende uwani kwanza nilimruhusu lakini sikummega. Naomba wakuu mnielewe kuwa mimi siyo kicheche/mchepukaji ila nilikuwa nafanya utafiti tu jamani.
Ni hivi, mimi nilikuwa nafanya utafiti kujua ni kitu gani hasa msichana hukifanya muda mfupi kabla ya kumegana? Story yenyewe ni hivi, unamuita msichana kunako maeneo ya faragha, mnapiga story wee hata saa nzima.
Sasa ukiwasilisha tu hoja ya kutaka mmegane halafu muondoke yeye anakwambia ngoja aende uwani kwanza. Nauliza: kwanini hivyo na huko uwani wanakwenda kufanya nini?
Mimi nimekutana na hali hii kwa mademu kama 10 hivi. Na kila alieniambia aende uwani kwanza nilimruhusu lakini sikummega. Naomba wakuu mnielewe kuwa mimi siyo kicheche/mchepukaji ila nilikuwa nafanya utafiti tu jamani.