moreen baby
Senior Member
- Feb 20, 2014
- 127
- 23
sio kicheche mademu kumii duuh kumbe ukicheche unaanzia mademu wangap
Ati?!!Mkuu huwa wanaenda kuiosha si unajua zina zinakuwaga na uchafu?
Ati story!!!Lisaa lizima unafanya nini eti!??
sio kicheche mademu kumii duuh kumbe ukicheche unaanzia mademu wangap
wanaendaga kutubu sambi sao
Ngoja nami niende uwani kwanza.....
Ngoja nami niende uwani kwanza.....
Wakuu naomba mnipe mawazo
Ni hivi, mimi nilikuwa nafanya utafiti kujua ni kitu gani hasa msichana hukifanya muda mfupi kabla ya kumegana? Story yenyewe ni hivi, unamuita msichana kunako maeneo ya faragha, mnapiga story wee hata saa nzima.
Sasa ukiwasilisha tu hoja ya kutaka mmegane halafu muondoke yeye anakwambia ngoja aende uwani kwanza. Nauliza: kwanini hivyo na huko uwani wanakwenda kufanya nini?
Mimi nimekutana na hali hii kwa mademu kama 10 hivi. Na kila alieniambia aende uwani kwanza nilimruhusu lakini sikummega. Naomba wakuu mnielewe kuwa mimi siyo kicheche/mchepukaji ila nilikuwa nafanya utafiti tu jamani.
Wakuu naomba mnipe mawazo
Ni hivi, mimi nilikuwa nafanya utafiti kujua ni kitu gani hasa msichana hukifanya muda mfupi kabla ya kumegana? Story yenyewe ni hivi, unamuita msichana kunako maeneo ya faragha, mnapiga story wee hata saa nzima.
Sasa ukiwasilisha tu hoja ya kutaka mmegane halafu muondoke yeye anakwambia ngoja aende uwani kwanza. Nauliza: kwanini hivyo na huko uwani wanakwenda kufanya nini?
Mimi nimekutana na hali hii kwa mademu kama 10 hivi. Na kila alieniambia aende uwani kwanza nilimruhusu lakini sikummega. Naomba wakuu mnielewe kuwa mimi siyo kicheche/mchepukaji ila nilikuwa nafanya utafiti tu jamani.