Ngoja wajeSi wanawake si wanaume kila anaetafuta mchumba lazima aweke kigezo cha ukirsto
Mabro na masister wakikristo ndoa kwenu imekuwa shida au yale magharama kuanzi kitchen party mpaka sendof yanawafanya mzikimbie ndoa.
Nadhani wewe ndiye hujanielewa .Naona hukumwelewa mtoa mada
Upande wa pili kuna taraka, hii imekua rahis kwa wanaume wa kiislam kuoa kwasababu mke akimshindwa anampa taraka, kuna option ya kuongeza mke kadri ya maamuzi ya mwanaume na uwezo wake endapo pia kama kuna changamoto kwa mke wa kwanza, upande wa kikristo hamna vyote ivyo so wanaume wengi lazima watulie mda uende kidogo, pia wingi nao unachangia, mwisho mfumo wa maisha, ngumu sana waswahili wengi ni waislamu ana oa tu ata akiwa nyumban, na garama pia kuanzia kwenye mahari mpaka harusi,Si wanawake si wanaume kila anaetafuta mchumba lazima aweke kigezo cha ukirsto
Mabro na masister wakikristo ndoa kwenu imekuwa shida au yale magharama kuanzi kitchen party mpaka sendof yanawafanya mzikimbie ndoa.
Hilo nalo nenoAssume ndo unakosea njia unafunga pingu za maisha na joyce kiria!! Haf eti.hakuna kuachana na wala hakuna kuongeza mke!!.. ha haa imani nyingine ni adhabu tosha!!
JOYCE KIRIA,FLORA MBASHA,NABII TITO ha ha ha hakuna futari kule.Tatizo pingu,yaani mpaka kiyama hakuna ndoa ya futari kule.
Hakuna,unaona hata wewe umeweza kuwa mention.JOYCE KIRIA,FLORA MBASHA,NABII TITO ha ha ha hakuna futari kule.
Tito ameanza,masaburi aliwaacha na mzee wa upako anatamani.Wakristo ni wengi zaidi pia hatuna ndoa za mitala. Kwetu huku mke 1 na mume 1 period..!!
kama unataka kujifunza uislam usijifunze kupitia muislam, soma uislam wenyewe, uislam umekamilika muslims are notHata waislamu nao pia siku izi wana hayo makitchen party na masherehe makuuubwaa
Unaweza kutuwekea data zinazoonyesha mko wengi kuliko jamii nyingine hapa nchini?Wakristo ni wengi zaidi
Bila kusahau na michepuko zaidi ya mitano pembeni.Kwetu huku mke 1 na mume 1
Are you sure kuwa mpo wengi zaidi ya waislam hapa Tanzania? Fanya tafiti za kutosha ujiridhishe maana unaweza ukahisi unaona mbali kumbe macho yana tongo tongoWakristo ni wengi zaidi pia hatuna ndoa za mitala. Kwetu huku mke 1 na mume 1 period..!!