Kila akifika kilele ananing'ata meno

mwekundu

JF-Expert Member
Mar 4, 2013
21,857
19,698
R.I.P Ngwair,Langa-habar wana jamvi
Nautandika uzi wangu huu hapa kuomba ushauri nifanyaje au dawa yake ni nini katika tatizo hili linalonisibu!
Nina mpenzi wangu niko kwenye mahusiano mwezi wa tisa sasa hivi,tatizo ni pale tunapokuwa ndani ya sita kwa sita huwa ananing'ata .Hii hali humtokea mara nyingi sana hasa hasa kipindi kile ambacho anakuwa anafika orgasm(female),hapa nilipo ukinikagua vizuri kifuani nina makovu kadhaa hadi kuwa chest game inakuwa aibu
Yani inakuwa shida kiasi natakiwa kujihami mara nikiwa namshughulikia hasa pale anapokuwa anakaribia orgasm kwa kutafuta stail ya kujiweka mbali na mdomo wake-lakini kama unavojua kipindi hiki mtu anaongezeka nguvu mara 100 so mara nyingi mimi naishia maumivu,na nimekuwa type ya wanaume ambao na last long in bed (enough stamina) hivo basi katika one shot naweza hata ng'atwa mara 3
Nikimuuliza mwenzangu anasema yeye hua hajitambui anapofanya kitendo hiko(biting) na kuishia kuni promise atajitahidi kujizuia next time lakini wapi -game inaishiaga vilevile.Kwa hali hii mimi naona kero hadi nafikiria kumuacha hali nampenda tena sana,sasa kabla sijafanya hivyo naombeni ushauri nifanyaje au hii hali inatibika na dawa yake nini?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Uwe unavaa tu ngao ndugu yangu azawaisi utakua makovu chest nzima
 
  • Thanks
Reactions: awp
Jitahidi sana utafute bulet proof na huwe unaivaa kabla ya tendo. Zinasaidiaga sana hizi sio kwenye risasi tu hata na matumizi mengine kama hayo.
 
  • Thanks
Reactions: awp
Mfunge mdomo au mwekee mto ndo awe anaung'ata pia badilisha style ya kusex tumia sana mbuz kagoma kung'atwa hapa itakuwa shda
 
sasa kama unang'atwa daily ndugu yangu....
baada ya miaka kadhaa ngozi yako si itakuwa kama kombat ya jeshi?

Dah we acha tu,sasa ndo unisaidie kwa ushauri na dawa yake if possible

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mfunge mdomo au mwekee mto ndo awe anaung'ata pia badilisha style ya kusex tumia sana mbuz kagoma kung'atwa hapa itakuwa shda
Hii kweli mkuu itanisaidia ,thanx


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Kuna zile kitu mbwa wanavalishwa ili wasingate tumia hiyo au uwe wamfunga mdomo kwa towel
 
Kaka vumilia tu, akizoea ataacha kwani bado "samri" imemjaa sana kiunoni na ikiwa inatoka inasisimua sana ndio maana anakung'ata!

Kwa wanawake wanaotaka kupata msisimko kama huo kila wakati wani-pm niwape darsa!
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom