Hiyo siyo speech ni "Joke" ambazo wanasiasa wote wantumia. Obama ndiyo smart President, lakini anazungumza vitu vya kijinga kila wakati. Ukiwa mwanasiasa lazima ujue njia ya kukonect na watu wa mjini. Kwa sisi tuliotoka Dar (Kikwete pia) hizo ndizo lugha tunazotumia. Watu wa Bara wapo tofauti na watu wa Dar.
Haki you could be right lakini kibaya zaidi kwa huyu baba wa Bagamoyo ni kwamba hata matendo yake yanaendana na anachokifanya, he is never serious tofauti na mtu kama Obama ambaye anapiga mzigo. By the way, Haki tunakupa nafasi uombe radhi maana kwa kumlinganisha huyo jamaa na Obama ni kama vile umelinganisha dimbwi la maji na bahari.