mara nyingi kikwete akizungumza huwa sometimes nafeel embarased
top three ya mazungumzo ya kikwete yaliyo ni disapoint ni hii
1.alienda mwanza mara baada ya kuchaguliwa kuwa rais
alizungumza mengi lakini mwisho alisema namnukuu 'wananchi wa mwanza nataka kulibadilisha hili jiji lenu liwe kama carlifornia ' na hii ilikuwa hadharani kwenye uwanja wa ccm kirumba.
2.akifanya mkutano wa waandishi wa habari mwanzoni kabisa,kuna mwandishi mmoja wa kike alimuuliza swali kuhusu nchi kurusu bidhaa duni kuingia na uhai wa manufacturing industry.yeye alijibu huku akijionyesha
mtoto wa mjini anaejua mavazi,akaanza kutaja labels za nguo,na mwisho akasema kwa kuwa sio wote wanamudu nguo mpya,basi ruksa watu kuingiza nguo duni
3.HII ilikuwa ile hotuba yake maarufu ya bungeni,watu nchi nzima tunasubiri ripoti ya epa ataizungumziaje,yeye akatumia mda mwingi
kuchekesha watu,top ilikuwa pale aliposema kula uliwe