Wote Mnaomponda Mh. Rais Mstaafu Mna Uwezo Mdogo Wa Kufikiri, Fanyeni Yenu Na Muache Maisha Binafsi Ya Mtu, Kila La Kheri Kwake
uwezo wako mkubwa umeonyesha kwa point gani ulizoweka?
Umenena haswa
Mahali penyewe kama gheto vile, hamna thamani kabisa.Sasa, mbona anaonekana yuko katika kikao wakijadili mambo ya msingi?! Acheni chuki mpaka huku!
Kila Mtanzania ana haki ya kusafriri nje ya nchi. Wako Watz tele wanakwenda nje na kurudi mara kwa mara. Cha ajabu ni nini JMK kusafiri nje ya nchi? Tunaelewa maana ya Holiday na utalii, au tunadhani Waafrika ni duni sana kutalii nje ya nchi? Lets mind our own business and leave JMK alone.
Dumelang waswahili wa pwani ni wajanja c mafala km wabara,ht late nyerere analijua hili,kaja mjini kakuta wa mjini wameshaanza harakati za kutafuta uhuru,akaonyesha ushirikiano wakampa nafasi kubwa tu kwsbb wt wa pwani ni waungwana c washenzi km wabara,mwacheni jk afanye yk,msiwe na wivu km wtt wa kike,hakuna rais mjanja tangu nchi hii ianzishwe kumzidi jakaya huo ndo ukweli,muulizeni baba yenu lowassa anajua mjanja wake ni nani?remote ipo msoga na nchi inakwenda
ana pepo mchafu huyu MTU sio bure.... haiwezekani MTU uwe unapenda safari zisizo na kichwa wala miguu
Kosa langu ni lipi hapo? Kwamba nimemsingizia Raisi Mstaafu hayuko York Mpya Marekani? au ni nini? Mbona sikuelewi?
Huyu hakuwa raisi alikua pepo
Si bure alikula sana miguu ya kuku huyu!!!