Kikwete yuko New York Marekani

Kikwete yuko New York Marekani

Endelea KUWAPOTOSHA Na KUWADANGANYA Watanzania Mkuu ILA Kuwa Makini Sana Kwani Sasa SHERIA Yetu Ile Ndiyo Ipo Ktk UBORA Wake. Mnavyomwandama Mzee Wa Watu Huku Mkifanya Upuuzi Wenu Wa Picha Za KUTENGENEZA Mnafaidika Na Nini? Hata Kama JK Katuudhi Lakini Nina UHAKIKA Kuwa Kuna Mahala Pengine Katufanyia Vizuri Na Tutamkumbuka Hivyo TUMPE HESHIMA Yake STAHILI Na Mtake Msitake Itabaki Ktk Historia Yetu Ya KIZAZI Na KIZAZI Kuwa Rais Wetu Wa Awamu Ya Nne ( 4 ) Alikuwa Ni Jakaya Mrisho Kikwete. Tujifunze Kuonyesha UUNGWANA Wetu Watanzania.

Huyu bwana katuibia sana na pia kaiuza nchi yeti kwa waarabu na wachina; hatuna sababu ya kumpenda!!
 
Sasa, mbona anaonekana yuko katika kikao wakijadili mambo ya msingi?! Acheni chuki mpaka huku!
 
Jakaya M kikwete aliwaisema "nataka nikiondoka nikumbukwe" sasa mnaochukia mnachukia nn wakati ndio anakumbukwa?

Atakumbukwa kwa Mengi ila kukumbukwa kwa Mabaya ni DOA

Wakati mwingine tujifunze, kuwapa waswahili wa pwani hawa nchi ni shida,hawa ambao kuendesha familia tu ni issue then tunawapa nchi
 
Kuna watu wanawashwawashwa tu! Muacheni huyo kwani anawapunguzia nini akizunguka duniani hata mwezini?
 
Mwacheni msomi huyo , hamjui thamani yake - ona hao wageni wanavyofaidika
 
Dumelang waswahili wa pwani ni wajanja c mafala km wabara,ht late nyerere analijua hili,kaja mjini kakuta wa mjini wameshaanza harakati za kutafuta uhuru,akaonyesha ushirikiano wakampa nafasi kubwa tu kwsbb wt wa pwani ni waungwana c washenzi km wabara,mwacheni jk afanye yk,msiwe na wivu km wtt wa kike,hakuna rais mjanja tangu nchi hii ianzishwe kumzidi jakaya huo ndo ukweli,muulizeni baba yenu lowassa anajua mjanja wake ni nani?remote ipo msoga na nchi inakwenda
 
Kwa leo namtetea vasco,,alikua yeye ameteuliwa na ban ki moon kua mwenyekiti wa kamati ya dharura nahisi inaandaa ripoti inayuhusu nchi zinazoendelea,kesho Ndo anawasilisha ripoti ilimbidi aende tu
 
Back
Top Bottom