Kikwete yuko New York Marekani

Kikwete yuko New York Marekani

Mbona una stress sana mzee, sikukuu nini

Kwani wewe hapo mahali unapaonaje, hivi pana hadhi yoyote ya kukaa watu wenye heshima zao wakipanga mipango ya maana. Hapo ni gheto tu, na mipango ya gheto inajulikana.
 
kila kukicha JK ,JK, JK.. watu mnacheza ngoma msioijua,, WANAMTANDAO wanaendeleza vita na rafiki yao wa zamani aliyeamua kuwa MZALENDO.. KWA HILI LA JK KUAMUA KUWA MZALENDO LIMEMFANYA AWE ICON SIKU ZA USONI.... mabwana zenu mnafikili nani asiyewajua kuwa walikuwa wanataka kuturudisha utumwani tena safari hii chini ya watu fulani weusi wenzetu wakisaidiwa na vibaraka wao wachache waliopandikizwa kila mahali pa nchi hii na kila siku wakizidi kununua na kununua maelfu ya manyumbu wasiojitambua na kuendeleza uharo huu wasioujua.. JPM kila akikamua jipu analiliwa JK, kweli hamuwezi kumsahau JK, na bado maana majina ya NYUMBA wote waliokwenye system wakiendeleza ukibaraka kwa yule jamaa yenu ameshampa JPM na sasa ni mwendo wa HAPA KAZI TU,,, poleni sana...
 
Kama anavyoonekena kwenye picha raisi mstaafu J. Kikwete baada ya kumaliza msiba wa dada yake ameenda mjini York Mpya huko nchini Marekani!


1.JPG

Acha wivu ndugu kwani umemkatia tiketi wewe mpaka ulalame acha ale jashi lake lile agizo la rais linawahusu watumishi wa umma mzee jiongeze!
 
Endelea KUWAPOTOSHA Na KUWADANGANYA Watanzania Mkuu ILA Kuwa Makini Sana Kwani Sasa SHERIA Yetu Ile Ndiyo Ipo Ktk UBORA Wake. Mnavyomwandama Mzee Wa Watu Huku Mkifanya Upuuzi Wenu Wa Picha Za KUTENGENEZA Mnafaidika Na Nini? Hata Kama JK Katuudhi Lakini Nina UHAKIKA Kuwa Kuna Mahala Pengine Katufanyia Vizuri Na Tutamkumbuka Hivyo TUMPE HESHIMA Yake STAHILI Na Mtake Msitake Itabaki Ktk Historia Yetu Ya KIZAZI Na KIZAZI Kuwa Rais Wetu Wa Awamu Ya Nne ( 4 ) Alikuwa Ni Jakaya Mrisho Kikwete. Tujifunze Kuonyesha UUNGWANA Wetu Watanzania.

Leo umekuwa mtanzania!
 
Khaa!! Mwenye akili angeuliza kwanini ameenda? Kwa gharama za nani na kwa maslahi ya nani :mvutaji:
 
Back
Top Bottom