nani hasyekujua kuwa wewe ni mfuasi wake?
Point like1kikwete ni raisi aliyeshindwa , haache kujiaibisha kwa kutoa kauli za kushindwa. Yeye alikuwa mfanya biashara na maswaiba wake wote ni wafanya biashara utawezaje kukusanya kodi kwa marafiki zako. Magufuri ni mtu wa kazi hana urafiki na mtu katika kazi
Nasisitiza,JF ni moja ya sehemu nzuri sana kupima IQ ya watanzina wewe ukiwa mmoja wao.Thanks ; kikwete....................... Watu walitegemea ungetoka na negative - umewaumbua kwa positive argurment
Mimi sioni alicho kosea hapo! Ni kweli wakwepa kodi kila diku wana buni mbinu mpya za kukwepa kodi hii ni vita ya kudumu na tukubaliane si rahisi kuitokomeza moja kwa moja kama wengi wetu tunavyo dhani,binafsi sina shaka JK ameyasema hayo kwa nia njema tu, watu wanakuja na maneno chungu nzima yenye lengo la kuchonganish? JK na JPM!!Leo ni siku ya usafi hivyo kama ulichafuliwa ni fursa kujisafisha kwa kujibu tuhuma
Ulishamaliza Uraisi wako na sasa siyo muda wa wewe kuanza kuwajibu watu wanaokushutumu kwenye mambo mbalimbali, kuna watu wanakupenda na kuna watu hawakupendi na hakuna kitu utafanya kubadishsa hawo watu wawili ningekushauri achana na media potea kabisa na endelea na maisha yako na achilia Historia ikuhukumu!
Jaribu kujifunza kwa maraisi wenzako waliopita kama Mzee Mwinyi na Mkapa kila siku wanaitwa Ruksa au sijui Mkapa mwizi n.k lkn hakuna siku Mzee Mwinyi au Mkapa wamejitokeza na kuanza kujiteteta hadharani kama ufanyavyo wewe, au hata Thabo Mbeki amesemwa sana baada ya kuacha Uraisi lkn hakuna siku amekuja na kuanza kuwajibu watu vile vile George Bush tangu amemaliza Uraisi wake amekaa kimya na anaendelea na mambo mengine wanaomchukia wanamchukia wanaompenda wanampenda!
Hivyo acha kutafuta kuwapa watu cha kuongea na kila unavyoongea ndivyo jinsi unavyozidi kuwapandisha watu chati ambayo wengine hata hawana, haiwezekani mtu mdogo kama Tundu Lisu aseme kitu Raisi au raisi mstaafu ahahahe usiku na mchana kujaribu kumjibu, common Kikwete wewe ulikuwa Raisi wa JMTZ , Amiri Jeshi Mkuu wa vyombo vyote vya Usalama TanZania, Bosi wa kila Mtanzania unabishana na mtu kama Tundu Lisu kweli?
Unanishangaza sana Kikwete kama alivyosema Maalim Seif!
Wewe nyau hauna akili hata ya kuvuka mto.Waache watapetape wachaga hawawezi kumsahau Kikwete na ile sacoss ndio inakufa kwa mziki wa Magufuli
Thanks ; kikwete....................... Watu walitegemea ungetoka na negative - umewaumbua kwa positive argurment
Wewe nyau hauna akili hata ya kuvuka mto.