Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
ingawa hii haimtoi ktk hao wachochezi.Bado sijui atatuambiaje kuwa Ponda na Farid walikuwa wakihubiri ukabila na ni kabila gani?Sijui hajui mkoa aliochagua kuyasema hayo unamaana kubwa sana kufikisha ujumbe wa ukanda unaohubiriwa na CCM dhidi ya CDM.Kwa paltforma aliyotumia na timing yake ni wazi kuwa yeye ndio alikuwa anakamilisha mahubiri ya ukabila kwa kuongezea udini.Badala afikiri kwanini waislam wenzake ndio wamefanya waliyofanya na posible mahubiri ni kutoka mikitini na CCM yenye ushawishi wa wazee wa kiislam.
Rais asiye na tofauti na waziri wake asiyejua nchi zilizojenga muungano wa tanzania na Kusoma mwaka kwa Kiingereza ni aibu kwa watanzania.
Nadhani CDM wanahitaji sasa mshambulia kama walivyopiga kwa mkapa na Sita.Ili KIkwete awe useless kabisa huku akibaki kuwa rais.
Rais asiye na tofauti na waziri wake asiyejua nchi zilizojenga muungano wa tanzania na Kusoma mwaka kwa Kiingereza ni aibu kwa watanzania.
Nadhani CDM wanahitaji sasa mshambulia kama walivyopiga kwa mkapa na Sita.Ili KIkwete awe useless kabisa huku akibaki kuwa rais.