Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,195
watanzani wanasikitisha sana linapokuja suala la ku face reality.
Udini upo na umeshatugawa big time.Rohoni wahanga wanayo chuki,wana kutowaani watendaji wa maangamizi,na pia mitaani tunasikia watu wakisema vibaya dini nyingine.Na hii imekuwepo miaka mingi sana.
Labda niwashauri watu wanafiki na waoga ambao ni wabaya sana..kukiri tatizo ni ushindi tosha na sababu tosha litatua.Mfano,suala la ukimwi ,wagonjwa walipokiri na kujitokeza ukimya na unafiki ukakoma,madhara yakaoonekana. Kila kundi likaonekana lina waathirika.
Leo hakuna asiyeona na kujua nani anaua ,nani katukana dini na viongozi wa dini yake,angalau kwa eneo lake la kazi na eneo analoishi.Sasa hao ni watu wachache?Au ndio kutupooza tushuhudie mengi zaidi km ktk elimu,ktk madawa ya kulevya,rasilimali za nchi?yote haya yana mikono ya makundi yote.
Wanabodi mtanzania anayedai udini ni wa watu wachache hana tofauti na aliyesema mambo fulani ni upepo tuu. Hembu tujiulize km ni wachache na madhara yake ni makubwa na aibu hivi je wakiongezeka kidogo?ingawa ukweli ni kwamba kila mahali kumeoza udini.
Udini upo na umeshatugawa big time.Rohoni wahanga wanayo chuki,wana kutowaani watendaji wa maangamizi,na pia mitaani tunasikia watu wakisema vibaya dini nyingine.Na hii imekuwepo miaka mingi sana.
Labda niwashauri watu wanafiki na waoga ambao ni wabaya sana..kukiri tatizo ni ushindi tosha na sababu tosha litatua.Mfano,suala la ukimwi ,wagonjwa walipokiri na kujitokeza ukimya na unafiki ukakoma,madhara yakaoonekana. Kila kundi likaonekana lina waathirika.
Leo hakuna asiyeona na kujua nani anaua ,nani katukana dini na viongozi wa dini yake,angalau kwa eneo lake la kazi na eneo analoishi.Sasa hao ni watu wachache?Au ndio kutupooza tushuhudie mengi zaidi km ktk elimu,ktk madawa ya kulevya,rasilimali za nchi?yote haya yana mikono ya makundi yote.
Wanabodi mtanzania anayedai udini ni wa watu wachache hana tofauti na aliyesema mambo fulani ni upepo tuu. Hembu tujiulize km ni wachache na madhara yake ni makubwa na aibu hivi je wakiongezeka kidogo?ingawa ukweli ni kwamba kila mahali kumeoza udini.