Kelele za vyura hazimzuii Tembo kunywa maji.
Hapa ndipo ninapompendea mtukufu rais. Keshafikisha ujumbe maridhawa kabisa; haters wanalalama.
Endelea kuongoza taifa baba JK, na 2015 tunamkabidhi nchi Mzanzibari mwenzetu, Dr Shein.
Ndio upeo wa intelijensia ya kikwete....huwa anadanganywa kilasiku yeye ni kusoma tu badala ya kuchunguza,baadae wakishtuka utasikia sleep of tongue.akili ya kuambiwa jumlisha na yako.
Message sent and delivered
WALIOCHOCHEA UKABILA/UKANDA NDIO WANAOENDEKEZA UDINI. BIG UP JK, atleast umeliona tatizo
you know the guy.....inasikitisha sana....mimi huwa kila mara najiuliza hivi JK huwa hana wanaomshauri cha kusema???au anashauriwa na watu gani????au hata yeye huwa hasomi jamii/raia wanachosema kwa kupitia magazeti???maana hata marais makini...kama kina Barack O huwa wana tweet etc...ili kuwa aware na kinachosemwa na raia wao.....mimi nashindwa kabisa kuelewa JK anashauriwa na watu gani...maana hakika hajui raia wa TZ wanasema nini na wanataka nini at present.....Coming to the point.....nadhani anatoa haya matamko kama ujumbe kwa dini za kikristo.....maana possibly ameshahisi kutakuwa na a very serious religious crusade in tz(ikihusisha madhehebu yote yaliyoathirika na fujo za waislamu).........haswa kama atakuwa amelisoma lile tamko la maaskofu wa KKKT....maana hata ma sheikh wa kiislamu baadhi walilizungumzia tamko lile.....Cha ajabu kabisa ni kwamba yeye JK badala ya kuhangaika kupambana na wajinga wenzake wanaochoma makanisa...yeye anabaki kuzungumzia vyama vingine vya siasa......this guy is a real pain.....Akiguswa tu kwenye suala la Rushwa na madudu mengine,basi huwa anakimbilia kwenye mwavuli wa dini,maana ni wazi sasa anaondoa lawama kwa wale waliowaita "wahuni",na kuendelea kuishinikiza sympathy ya udini kutpka kwa wananchi wa imani yake.
Rais wa nchi hata kama una dini,hautakiwi kuchaguwa upande wa dini yako na kuzidi kuzichochea hisia za kidini kwa kuwanyooshea kidole wapinzani wako wa kisiasa huku ukijuwa ni uongo.Anaposema "hakutapatikana mshindi",tayari anajenga hisia kuwa dini yake inanyanyaswa.
Kweli watanzania mtajuta kumchagua JK.
Hivi tulichagueje mtu wa aina hii awe raisi, daa tulilogwa vibaya sana zamani wakati nakua nikajua mtu hadi awe raisi ni lazma awe na uwezo mkubwa sana wa hekima,busaea na kufikiri anachokiongea kumbe ata asie jua anachoingea anaweza kua raisi
you know the guy.....inasikitisha sana....mimi huwa kila mara najiuliza hivi JK huwa hana wanaomshauri cha kusema???au anashauriwa na watu gani????au hata yeye huwa hasomi jamii/raia wanachosema kwa kupitia magazeti???maana hata marais makini...kama kina Barack O huwa wana tweet etc...ili kuwa aware na kinachosemwa na raia wao.....mimi nashindwa kabisa kuelewa JK anashauriwa na watu gani...maana hakika hajui raia wa TZ wanasema nini na wanataka nini at present.....Coming to the point.....nadhani anatoa haya matamko kama ujumbe kwa dini za kikristo.....maana possibly ameshahisi kutakuwa na a very serious religious crusade in tz(ikihusisha madhehebu yote yaliyoathirika na fujo za waislamu).........haswa kama atakuwa amelisoma lile tamko la maaskofu wa KKKT....maana hata ma sheikh wa kiislamu baadhi walilizungumzia tamko lile.....Cha ajabu kabisa ni kwamba yeye JK badala ya kuhangaika kupambana na wajinga wenzake wanaochoma makanisa...yeye anabaki kuzungumzia vyama vingine vya siasa......this guy is a real pain.....Akiguswa tu kwenye suala la Rushwa na madudu mengine,basi huwa anakimbilia kwenye mwavuli wa dini,maana ni wazi sasa anaondoa lawama kwa wale waliowaita "wahuni",na kuendelea kuishinikiza sympathy ya udini kutpka kwa wananchi wa imani yake.
Rais wa nchi hata kama una dini,hautakiwi kuchaguwa upande wa dini yako na kuzidi kuzichochea hisia za kidini kwa kuwanyooshea kidole wapinzani wako wa kisiasa huku ukijuwa ni uongo.Anaposema "hakutapatikana mshindi",tayari anajenga hisia kuwa dini yake inanyanyaswa.
Kweli watanzania mtajuta kumchagua JK.
hivi tuwe serious kidogo
chadema mlipokamsimamisha mbowe kugombea urais kipindi kile kweli mlikua serious aongoze nchi hii au mlikosa mwakilishi??
Kweli dumb man like dj kupewa trust kubwa kias kile hatukuona kama ilikua hatari kwa mustakabali wa nchi hii kama angechukua nchi??
Huyu Raisi kafanya uraisi kuwa raisi sana,hivi hanaga washauri?