Kikwete: Waliochochea ukabila ndio wanachochea udini leo...

Status
Not open for further replies.
Vema rais kikwete
wenye akili timamu tumetambua ukweli wa hayo uyasemayo
sema tuh umetumia tafsida kuepusha zogo
wakabila ni slaa na chadema chao
walikuja na propaganda chafu kama hizi na sasa wamesahau na kujifanya ni watoa lawama wakuu
wapo tunaoichukia ccm kwa uozo wa baadhi ya viongozi wa chama hiki pia na kuichukia chadema na hulka chafu za udini na ukabila walizonazo
wabadilike sasa na kuacha ukanda..
 
Mnafiki huyo,kashaona dhambi yake aliyoipandikiza ya udini inataka kulipeleka Taifa kubaya. Anajikosha anataka kuwapa watu zigo la lawama. Amani ya nchi hii itakapotoweka watu kama hawa watafute kwa kukimbilia kwani hatutavumilia uzandiki wao lazima wajibu walichopandikiza
 
Some timez mtu anaweza kuwaforced kuongea hata km alikuwa hataki kuchangia. Hapa kama rais tunae,amekuwa rais wetu amekuwa mtu wa kulalamika badala ya kuamua na kukomesha! Anaposema walioanzisha ukabila walishindwa na wamekuja na udini! Hapa anaumauma maneno ili kumfurahisha nani? Kwa nini asiseme kuwa waislamu wameanzisha suala la udini na atuambie kama ndo hao walioanzisha suala la ukabila. Kiongozi vmtakaye ni yule anaeweza kukemea masuala hayo tena waziwazi si kulalamika kama afanyavyo amiri jeshi wetu huyu! Anachofanya ni kwamba hataki lawama"
 
ni kweli mkuu chadema si ndo wanachoma makanisa!


hivi tuwe serious kidogo
chadema mlipokamsimamisha mbowe kugombea urais kipindi kile kweli mlikua serious aongoze nchi hii au mlikosa mwakilishi??
Kweli dumb man like dj kupewa trust kubwa kias kile hatukuona kama ilikua hatari kwa mustakabali wa nchi hii kama angechukua nchi??
 
hivi tuwe serious kidogo
chadema mlipokamsimamisha mbowe kugombea urais kipindi kile kweli mlikua serious aongoze nchi hii au mlikosa mwakilishi??
Kweli dumb man like dj kupewa trust kubwa kias kile hatukuona kama ilikua hatari kwa mustakabali wa nchi hii kama angechukua nchi??

Naomba unisaidie mkuu, kama unajua CV ya Rais wa Madagascar naomba unitumie

Asante kwa msaada wako
 
Message sent and delivered,
WALIOCHOCHEA UKABILA/UKANDA NDIO WANAOENDEKEZA UDINI. BIG UP JK, atleast umeliona tatizo

Nonesense!!! We don't have a president!! Nchi hii inaongozwa na Kilaza fulani tu hivi!!! Kama hajachukua hatua na kutoa mwelekeo, anafanya nini!! Si atoke awaachie wengine. Kila mtu nchi hii analalamika, hata Rais analalamikaaaa.......!!!!
 
Udini huo uko wapi? Mbona umueleweki? Mara nyie Cuf mlahumu ccm leo mna lahumu cdm? Wapi mna simama?

Mods ondoa huu UZI wa udini hawa chadema wanaeneza sana udini. wao ndio wanaendesha siasa kupitia makanisani wakiambiwa wanakataa lakini mwisho wake ni kuumbuka tu.
 
Mwana Mpotevu Hii mbona iko wazi inawalenga CDM moja kwa moja, kwani wao ndio 90% ya viongozi wao wanatoka kaskazini, na sasa wameleta udini chini ya mwamvuli wa kanisa
kweli mkuu hata uchaguzi wa 2000 walikuwa ni cdm waliokuwa wanatangaza kuwa cuf ni chama cha udini,hilo boomerang baba limerushwa na ccm sasa linawarudia wenyewe,waliopandikiza kuwa cdm ni chama cha ukabila mara cha udini kesho utatuambia hata shehe Ponda ni cdm
 
Jamani wana JF

Someni haya asemayo Kikwete sasa kuhusu udini na ukabila kisha mtafakari wenyewe.

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI


JK: Moto wa dini hautakuwa na mshindi

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete jana, Jumapili, Oktoba 28, 2012, ameanza ziara ya siku nne kukagua shughuli na kuzindua miradi ya maendeleo katika Mkoa wa Kilimanjaro kwa kuwaambia Watanzania kuwa moto wa dini ambao umeanza kujitokeza katika Tanzania hautakuwa na mshindi.

Rais Kikwete ameanzia ziara yake kwenye Wilaya ya Same ambako amehutubia mkutano wahadhara kwenye eneo la Stendi ya Mabasi ya mjini Same ambapo amewaambia mamia ya wananchi kuwa baada ya watu wasioitakia Tanzania mema kushindwa kuwafarakanisha Watanzania kwa kutumia ukabila sasa wamegeukia dini.

“Kuna watu hawana raha na utulivu na amani ya nchi yetu. Walijaribu kutufarakanisha kwa kutumia ukabila lakini hili lilishindikana na sasa wamegeukia dini. Lakinindugu zangu moto wa dini hautakuwa na wa kuuzima na hautakuwa na mshindi,” Rais Kikwete amewaambia wananchi kwenye mkutano huo.

Amewataka Watanzania kuendelea na utulivu wao wa kidini na wakatae kufarakanishwa kwa tofauti za dini.

“Ndugu zangu, siku zote tumekuwa na dini zetu, kila mmoja akiwa na uhuru wake wa kuabudu anachokitaka na kukiamini na kwa namna anavyotaka yeye. Ni muhimu tuendelee kuheshimu tofauti zetu za dini bila kuzigeuza tofauti hizokuwa chimbuko na sababu ya ugomvi.”

Rais Kikwete pia amewahakikishia wananchi wa Same kuwa Serikali imedhamiria kumaliza tatizo la maji katika maeneo ya wilaya hiyo na wilaya za jirani za Mwanga na Korogwe katika Mkoa wa Tanga.

Amesema kuwa mradi mkubwa wa kusambaza maji katika vijiji 34 katika wilaya hizo kutoka Bwawa la Nyumba ya Mungu utaanza kutekelezwa Februari mwakani. Mradi huo wenye thamani za dola za Marekani bilioni 34 utawahudumia wananchi katika vijiji 14vya Wilaya ya Same na utachukua kiasi cha miezi 18 kukamilika.

Rais Kikwete ataendelea na ziara yake leo, Jumatatu, Oktoba 29, 2012 kwa kuzindua Kiwanda cha Tangawizi kilichoko Mamba Miamba na kufanya mkutano hadhara na wananchi. Baadaye kesho, Rais Kikwete atazindua Shule ya Sekondari ya Wasichana ya Asha-Rose Migiro iliyoko Mwanga.

Imetolewa na:
Kurugenziya Mawasiliano ya Rais,
Ikulu.
Dares Salaam.
29Oktoba, 2012

My Take:
Hivi ni nani aliyekuwa anachochea ukabila kama sio CCM?? Kwahiyo na udini unachochewa na CCM? Je, JK anakishtaki chama chake kwa wananchi???

hapana taarifa ya jumba jeupe siyo ya kweli Ikulu nayo inaogopa watu kama wanawajua si wawakamate na tuwafungulie kesi za uhaini jamani huyu baba lini ataacha kulalamika ni noma, afu kwa nn tunadanganyana mchana kweupe hivi.Tubadilike maana kofia nyeupe zikiandamana tena bila taarifa mpaka na ulinzi wanapewa
 
Hivi tulichagueje mtu wa aina hii awe raisi, daa tulilogwa vibaya sana zamani wakati nakua nikajua mtu hadi awe raisi ni lazma awe na uwezo mkubwa sana wa hekima,busaea na kufikiri anachokiongea kumbe ata asie jua anachoingea anaweza kua raisi

Hii ndiyo Tz, nazani tufike mahali tuutangazie ulimwengu kwamba nchi yetu inafuata utawala wa kifalme ambapo mtu yeyote kutoka familia ya mfalme hata kama ni kilaza anaruhusiwa kutawala: baba-sisim, mama-sisim, na watoto-sisim - alafu tunaubiliwa democrasia. Hivi ukienda kinyume na matakwa ya ufalme huu si lazima utaozea gerezani au uokotwe mabwepande! Me nafikili tumekuwa wabinafsi mno kuwakumbatia watawala wabovu wa aina hii. Kwa utawala huu kwakweli vizazi vijavyo hawatakuta kitu chochote Tz na watatulaumu sana kwa kutelekeza nchi yao!!
 
Mtu akiwa nyuma ya keyboard anajiamini.Jitokezeni hadharani mseme hayo maneno machafu machafu muone.Huu ni ushamba kutukana viongozi hovyo

ni ushamba kushindwa kutofautisha kati ya ukweli na matusi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom